Recent content by Roine

  1. Roine

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Arusha

    Iko wapi? Ina hali gani? Wengine hatuwezi tu kwenda bila kuwa na picha hasili ya mahali unapopasema. Elezea zaidi tafadhali!
  2. Roine

    JamiiForums Tanzania Anaehitaji German Shepherd Dog tuwasilane ally.ngowo@yahoo.com

    Elezea vizuri...amepata mafunzo yoyote? Anauzwa shs ngapi? Wapi?
  3. Roine

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Mimi naunga mkono harakati zote za kupambana na madawa ya kulevya pamoja na maovu mengine yote yanayoirudisha nyuma taifa letu. Hapa nina maana kuwa madawa ya kulevya ni moja tu ya matatizo tuliyonayo kama taifa. Mfano wa tatizo lingine ni RUSHWA. Vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sawa...
  4. Roine

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa mil. 3 ni nyingi. Lakini inatagemea na wewe mwenyewe na mahali wateja wako tarajiwa. Kuna threads nyingi humu zilizoainisha fursa za kibiashara. Tafuta fursa unayoiwezea kisha tafuta ushauri zaidi kwa wazoefu wa hiyo biashara!
  5. Roine

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kibenki

    Kadi yako ya benki ni Credit Card au Debit Card? Benki karibu zote hapa Tz hazijaweza kuanzisha mfumo mzuri wa Credit card. Nakushauri uwasiliane na benki yako watakushauri njia bora ya kupokelea fedha yako. Kwa uzoefu wangu Westen Union ni njia nzuri na convenient!
  6. Roine

    JamiiForums Tanzania Mafuta ya Sunflower yanahitajika

    Huyu aliyopost huu uzi anaonekana hayupo serious...hajibu maswali!
  7. Roine

    JamiiForums Tanzania Mafuta ya Sunflower yanahitajika

    Naomba kujua unamaanisha nini kusema kiwango kikubwa. Kwa mfano; lita ngapi kwa siku au mwezi? N
  8. Roine

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuuza vitenge kutoka Kigoma natafuta Business Partners

    Hello! Nina interest na biashara ya vitenge. Nipo dodoma, tuwasiliane
  9. Roine

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moyo Mpweke"

    Ukifikia hatua ya kuweza kumsamehe mpenzi wako baada ya kumfumania live, basi ujue sasa unaweza kuishi kwenye ndoa. La sivyo utabadilisha sana!
  10. Roine

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake nanyi huwa mnaweza kutamani waume za watu instantly?

    Duh! Evelyn Salt, I salute you! Ila vitu tunavyovikosa huwa havionekani ... it is not about the looks!
Back
Top Bottom