Moyo Mpweke"

Moyo Mpweke"

Mpole mimi

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
315
Reaction score
104
Habarini wapenzi.... Ni takribani miezi miwili sasa baada ya kumfumania aliekuwa mpenzi wangu na mwanamke mwingine wakiivunja amri ya sita bila woga...na kujikuta kuyachukia mapenzi kwa kiasi fulani...

Najua jf ni sehemu inayojumuisha watu wengi..na siwezi kumkosa naemuhitaji humu nikamridhia.

Sifa.
-awe mtu mzima (35 na kuendelea)
-awe mkwel na muwazi
-awe muelewa
-awe muaminifu
-awe na Kazi au biashara inayomuingizia kipato cha kututosha
-dini haijalishi sana na pia kama ana watoto sio tatizo. Mengine njoo PM.
-awe anaishi Dar..
-awe na maisha ya kuridhisha japo nyumba na gari zuri.

Sifa Zangu.
Umri 20'
Mrefu wa wastani
Rangi ya chocolate
Mrembo ninaejielewa na kujiheahimi pia.
Ningependa kukupa upendo na care ya kimahaba ukaridhika.
Ukwel ngao yangu. Promise ntakubeba utakavyo.
Nipo dar. Njoo PM kwa alie serious tu.
 
Tumevamiwa au kawaida...mpenzi namtaka lakini siyo wa aina hiyo..
 
Naona leo umeshupalia kutafuta...Je unadhani ndiyo itakuwa shuluhisho la mashahibu yalolkukuta?
 
Habarini wapenzi.... Ni takribani miezi miwili sasa baada ya kumfumania aliekuwa mpenzi wangu na mwanamke mwingine wakiivunja amri ya sita bila woga...na kujikuta kuyachukia mapenzi kwa kiasi fulani...

Najua jf ni sehemu inayojumuisha watu wengi..na siwezi kumkosa naemuhitaji humu nikamridhia.

Sifa.
-awe mtu mzima (35 na kuendelea)
-awe mkwel na muwazi
-awe muelewa
-awe muaminifu
-awe na Kazi au biashara inayomuingizia kipato cha kututosha
-dini haijalishi sana na pia kama ana watoto sio tatizo. Mengine njoo PM.
-awe anaishi Dar..
-awe na maisha ya kuridhisha japo nyumba na gari zuri.

Sifa Zangu.
Umri 20'
Mrefu wa wastani
Rangi ya chocolate
Mrembo ninaejielewa na kujiheahimi pia.
Ningependa kukupa upendo na care ya kimahaba ukaridhika.
Ukwel ngao yangu. Promise ntakubeba utakavyo.
Nipo dar. Njoo PM kwa alie serious tu.

karibu sana
 
Naona Leo umenikusudia sio kidogoo...

Sio kukusudia, unajua kuna mambo mengi huwa tunafanya kwa kuongozwa na hasira ila muda si mrefu ynatugharimu na kuona ni afadhali yayule shetani ulomwacha of whom ulikuwa unamjua vyema kuliko malaika mpya utayempata of whom humjui vya kutosha...
 
Sio kukusudia, unajua kuna mambo mengi huwa tunafanya kwa kuongozwa na hasira ila muda si mrefu ynatugharimu na kuona ni afadhali yayule shetani ulomwacha of whom ulikuwa unamjua vyema kuliko malaika mpya utayempata of whom humjui vya kutosha...

Hivi ulishawahi kupita sehemu ukafika mbele ukatamani usirudie tena?!.
 
Mamaweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, mario@work, watoto mmeamua kujilipua loh!!! hamjifunzi kupita kjaka zetu EZDEN, GADNER E.MBASHA.
 
Hivi ulishawahi kupita sehemu ukafika mbele ukatamani usirudie tena?!.

Nakuelewa dada yangu ila hakuna jambo lolote gumu lisilo na mlango wa kutokea...wakati mwingine magumu yanatujia maishani ili kupima uwezo wetu wa kuyakabili!
 
Ukifikia hatua ya kuweza kumsamehe mpenzi wako baada ya kumfumania live, basi ujue sasa unaweza kuishi kwenye ndoa. La sivyo utabadilisha sana!
 
Ukifikia hatua ya kuweza kumsamehe mpenzi wako baada ya kumfumania live, basi ujue sasa unaweza kuishi kwenye ndoa. La sivyo utabadilisha sana!

aiseee! kumbe naweza kuishi maisha ya ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom