Mpole mimi
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 315
- 104
Habarini wapenzi.... Ni takribani miezi miwili sasa baada ya kumfumania aliekuwa mpenzi wangu na mwanamke mwingine wakiivunja amri ya sita bila woga...na kujikuta kuyachukia mapenzi kwa kiasi fulani...
Najua jf ni sehemu inayojumuisha watu wengi..na siwezi kumkosa naemuhitaji humu nikamridhia.
Sifa.
-awe mtu mzima (35 na kuendelea)
-awe mkwel na muwazi
-awe muelewa
-awe muaminifu
-awe na Kazi au biashara inayomuingizia kipato cha kututosha
-dini haijalishi sana na pia kama ana watoto sio tatizo. Mengine njoo PM.
-awe anaishi Dar..
-awe na maisha ya kuridhisha japo nyumba na gari zuri.
Sifa Zangu.
Umri 20'
Mrefu wa wastani
Rangi ya chocolate
Mrembo ninaejielewa na kujiheahimi pia.
Ningependa kukupa upendo na care ya kimahaba ukaridhika.
Ukwel ngao yangu. Promise ntakubeba utakavyo.
Nipo dar. Njoo PM kwa alie serious tu.
Najua jf ni sehemu inayojumuisha watu wengi..na siwezi kumkosa naemuhitaji humu nikamridhia.
Sifa.
-awe mtu mzima (35 na kuendelea)
-awe mkwel na muwazi
-awe muelewa
-awe muaminifu
-awe na Kazi au biashara inayomuingizia kipato cha kututosha
-dini haijalishi sana na pia kama ana watoto sio tatizo. Mengine njoo PM.
-awe anaishi Dar..
-awe na maisha ya kuridhisha japo nyumba na gari zuri.
Sifa Zangu.
Umri 20'
Mrefu wa wastani
Rangi ya chocolate
Mrembo ninaejielewa na kujiheahimi pia.
Ningependa kukupa upendo na care ya kimahaba ukaridhika.
Ukwel ngao yangu. Promise ntakubeba utakavyo.
Nipo dar. Njoo PM kwa alie serious tu.