Recent content by Rohore

  1. R

    Hivi ninyi wapenzi wa Clouds radio mnaenjoy au mnakereka kama mimi?

    Mleta uzi njoo kigamboni weekend nikupe safari moja na kitimoto maana daaaah!!!
  2. R

    Iringa: Jeshi la Polisi lafungua Jalada la uchunguzi kuhusu Mwanafunzi Abdul Nondo

    Stupidity.. Akili ya kuambiwa .....................!!!! Mpitaji tu.
  3. R

    Tanzia: Mchungaji wa KKKT Usharika wa Sinza afariki Dunia kwa ajali

    Pumzika baba.Tunaumia sana tunaokujua
  4. R

    Hivi Maandamano Yanaogopwa Hivi? Ningekuwa Mimi, Ningewaruhusu na Ulinzi Ningewapa na Kuwakaribisha Ikulu!.

    Huyu mamba wamemfuga wenyewe leo anawajambisha kinoma noma.Wamo wengi bado humo ccm awe makini tu kuwaengua
  5. R

    Sababu zipi hasa hupelekea watu kufanya mapenzi kwenye gari?

    Hiyo inaitwa nipige tafu coz lifti umepewa so piga tafu pia Daaaaadeki
  6. R

    Mauaji yanayoendelea Mwanza; polisi wana mpango gani?

    Poleni sana.Amesikia kamanda
  7. R

    Nilikosea kuolewa na huyu, nimekutana na perfect choice kazini

    Mwalimu wenu nyie wanawake siku zite huwa ni kipofu.
  8. R

    Zitto: Upinzani adui yetu ni CCM, tuweke kando tofauti zetu tushirikiane tuhakikishe kata 3 za Dar CCM haipati hata moja

    Una akili wewe mtoto daaaah!!! njoo makonde vila weekend nikupe maji ya kandoro baaaariiiidiiiiii
  9. R

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ccm ilikuwa ya Nyerere hii ya sasa sijui kirefu chake ni nini.Ile isomeka kama "CHAMA CHA MAPINDUZI" Kama ukianza toa tafsiri ya neno "MAPINDUZI" Waweza hata usizimalize zote. Hii ccm ya leo chini ya msema kweli kirefu chake ni nini jamani mnisaidie tafadhari.
  10. R

    Picha ya Kwanza ya Dogo Janja na Irene Uwoya

    Tunakotoka tunapajua lkn tuendako hakika hatupajui kabisaaaaaaaaa Kweli dunia ya mwendo kasi hii
  11. R

    Mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea umebisha hodi Tanzania

    Mpole,mwenye nia njema,mzalendo wa nchi na pia msema kweli. Hamna namna. Hatunywi sumu hatujinyongiiiiii (..........) mbele kwa mbeleeeeeeeeeeeeeeeeeeee................... Acha tuisomee namba eeeeeeeee....... Hapo mwisho mwisho kabisaaaaa
Back
Top Bottom