zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
unatumia nguvu kuubwa kuamdika upumbavu......Nyalandu anataka urais, lowassa hayuko tayari kukaa benchi, lissu nae anautaka na dj anaona ndo chansi yake iliyobaki.
Mtifuano ni mkubwa, kila mtu ataondoka na fito zake uelekeo wake na nyumba haitajengwa.