Recent content by Rohongumu

  1. R

    Ufunguzi Rasmi wa Saba Saba ni Kesho, 1/7/2017, Mgeni Rasmi ni rais Magufuli

    Asante kwa taarfa tutafika kushuhudia !
  2. R

    Joyce Ndalichako yafuatayo usiyasahau

    haaaaaaaaaa!haaaaaaaaaaa!
  3. R

    Ijue Kamati Maalum ya maridhiano kuhusu uchaguzi Mkuu uliofutwa Zanzibar

    Seif shujaa wa kweli Mzee wa Sawasawa kawakamata patamu wamekimbia na mpira.
  4. R

    Serikali ipige marufuku kuuza mkaa nje ya nchi.....

    Majipu yako mengi yakutumbua hadi Dr.atanuka usaha hili nalo jipu pia Makaa ya mawe pia tusije tukaagiza nje tena.
  5. R

    Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA

    kuna vitu vya kuviepuka uaweza ukala mkaa wa moto hasa kwa Rwakatare.Rugemalira ni mkaa kwake wa moto.
  6. R

    Utafiti: Kwanini walimu wamefika hapa walipo leo

    Kukosekana umoja miongoni mwa walimu.
  7. R

    TAMISEMI Kuweni na huruma na sisi,sisi ni binadamu wenzenu!

    Halmashauri ndio chanzo cha hayo yote mwl kapewa barua ya kupanda daraja mshahara haujabadilika huu mwezi wa 3.
  8. R

    TAMISEMI Kuweni na huruma na sisi,sisi ni binadamu wenzenu!

    Mtumbua jipu Wizara ya elimu ina mijipu kuanzia Wilayani hadi Wizarani fedha hizo zinatoka ila wanalipa kwa kuangalia usoni niliwahi kufuatilia Halmashauri ktk orodha ni mtu wa 46 ktk madai fedha imeletwa nilirukwa wakalipwa wanaowajua wao pale Halmashauri madai toka 2013 najuta kuingia sekta...
  9. R

    Nimsaidie Rais hili jipu kwenye Ajira za Walimu

    Majipu kama haya Malimbikizo ya mishahara Madaraja kudharauliwa Usumbufu toka kwa maafisa unapofuatilia Haki zako ndiyo maana tuliikataa CCM wakipuuza pamoja na kutumbuana 2020 msimamo ni uleule.
  10. R

    Tetesi. kiapo cha uadilifu kwa walimu

    Majipu tu hakuna kitu ni mwendo wa kutumbuliwa tu kwa miaka 5.
  11. R

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mpigie huyu jamaa 0755736198 muwasiliane.
  12. R

    Rais Magufuli, Walimu wapewe allowance za nyumba, wameshadanganywa sana

    Nhif malimbikizo manyanyaso toka kwa wafanyakazi wa halmashauri nalo tatizo mishahara midogo.
  13. R

    Tunakwenda kushuhudia makundi mawili ndani ya Familia "X"

    nilikiona hiki toka mapema kuwa jamaa atawanyoosha sasa haooooo wanalia.
  14. R

    Rais Magufuli aagiza Taasisi za Umma zisizo na tija kupunguza wafanyakazi

    hapo sawa pia Wilaya,Mikoa,Majimbo mapya yapigwe STOP.
  15. R

    MTUKUFU JP Magufuli Majiji na halmashauri zina mahari mengi kupita kiasi.

    Rais Magufuli wanyooshe kila mtu ale kutokana na mshahara wake tutaifishe mali za mafisadi ili nchi iwe na adabu pia kifungo cha maisha au kunyongwa tukifanya hivyo heshima itakuwepo.
Back
Top Bottom