Recent content by Rodriquz

  1. Rodriquz

    Ingekuwa ni wewe ungemshaurije?

    Swala la kuoa sio dogo ukurupuke tu kuishi na mwanamke, hata kama unajipigia bure hyo sio sawa, hayo yote yamesabibishwa nayeye kwenda kuzoa takataka zilizozalishwa huko, angefuata taratibu akaoa,
  2. Rodriquz

    Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    asante mkuu je naweza kuipata kwa shingapi hdd 500gb?
  3. Rodriquz

    Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Kwahiyo hapo shida ni hdd t nikibadili ninaweza kucheza games aina zote?
  4. Rodriquz

    Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Ndio mfano wa kama games za aina hiyo je inawezekana?
  5. Rodriquz

    Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Hp probook 6475b . Processor AMD 2.70 Ghz . Ram 4Gb . HDD 200gb
  6. Rodriquz

    Neno gani uliambiwa na mpenzi wako likakuvunja moyo?

    Nilipigiwa mke, maana nilioa single mother, nikauliza kwann umenifanyia haya. Jibu nililopewa, YULE NI MZAZI MWEZANGU, mpaka sasa naangalia kama macho hayaoni
  7. Rodriquz

    Kama ni wewe unaweza kuchukua hatua gani kwenye jambo kama hili?

    MFANO wewe ni mwanamke Mwanaume wako wa mwanzo amekutelekeza mda mrefu hajui unakula wala unavaa nini hana mpango kabsa wala hawajali watoto wake, akatokea mwanaume mwingne mkapendana atakuwa amekuiba? Je unapenda kuwa single mother muda wote, unakubali kwamba nyie wanawake mliotelekezwa...
  8. Rodriquz

    Kama ni wewe unaweza kuchukua hatua gani kwenye jambo kama hili?

    Najua humu kuna watu wenye busara na ushauri mzuri kabla cjafanya maamuzi, Nistori ndefu lakn nafupisha, Ipo hivi mm nimeoa mke nilimkuta single mother, mwanaume wake wa zamani ndio anatia doa maisha yetu. Mke wangu alijifungua watoto mapacha kwa op, nikapata kazi nje ya nchi. Huku nyuma kumbe...
  9. Rodriquz

    Sipo sawa kabsa

    Kuna jirani yangu hapa kanunua gari Ila sasa mimi rangi ya gari yake sijaipenda, nifanyeje?
  10. Rodriquz

    Nimemvunja moyo sana mke wangu, kama una chochote cha kuniambia au kunishauri wewe nishauri tu

    Ni boya lakini limezama kwenye maji, asante kwa ushauri wako
  11. Rodriquz

    Nimemvunja moyo sana mke wangu, kama una chochote cha kuniambia au kunishauri wewe nishauri tu

    Kawaida ya wanaume tumeumbiwa tamaa, hakuna mwanaume asiyemsaliti mke wake iwe sirini au wazi wazi, mimi na mke wangu tumepitia changamoto nyingi sana kwenye maisha, amenivumilia kwa mengi toka ajifungue amekuwa wa hospital tu anatoka leo anarudi kesho. Mimi naishi mbali nae kwa sababu ya kazi...
Back
Top Bottom