Ingekuwa ni wewe ungemshaurije?

Swala la kuoa sio dogo ukurupuke tu kuishi na mwanamke, hata kama unajipigia bure hyo sio sawa, hayo yote yamesabibishwa nayeye kwenda kuzoa takataka zilizozalishwa huko, angefuata taratibu akaoa,
 
Tukiachana na mtoto, hapo kwenye dini tu ni changamoto tosha....Kama kwenye mahusiano tu unaanza kuwa hivi Basi hiyo ndoa itakukondesha.....hebu amua kuchagua change furaha katika maisha yako.
 
Swala la kuoa sio dogo ukurupuke tu kuishi na mwanamke, hata kama unajipigia bure hyo sio sawa, hayo yote yamesabibishwa nayeye kwenda kuzoa takataka zilizozalishwa huko, angefuata taratibu akaoa,
umeeleweka mkuu
 
Majuzi mdogo wangu alinitembelea nyumbani baada ya stori za hapa na pale akanieleza sababu ya kunitembelea.Akanieleza kuhusu matatizo yanayomsibu katika mahusiano yake,maelezo yake yako hivi.

"Bro nimekaa na mchumba wangu kwa muda wa miaka miwili sasa licha ya tofauti zetu za kidini mimi kuwa mkristu na yeye kuwa muislam,Kwa umri 29 na yeye 24 miaka.Mchumba wangu huyu ana mtoto mmoja ambaye anaishi kwa wazazi wa mwanaume aliyeachana nae,Nilitokea kumpenda sana huyu mwanamke lakini naona kadri siku zinavyokwenda ni kama yeye anakuwa chanzo cha kufanya mapenzi yangu kwake yapungue tena kwa kiwango kikubwa sana!Mapenzi ndio yalinifanya:-

1.nikomae kiume nihame toka kwenye kupanga chumba na kwenda kupanga nyumba nzima kama ambavyo alikuwa akitamani siku zote

2.nimepigana vita ya jihad kuhakikisha anakuwa na simu nzuri kama ambavo siku zote ametamani(yenye thamani ya zaidi ya 1.4M) "aliimba msanii O-ten,akipendacho binti mwanaume lazima atanunua"

3.Japo wanasema hutakiwi kukumbushia ukisamehe lakini Nimemsamehe makosa mengi sana hapo nyuma yakiwemo kuchelewa kurudi om bila taarifa na kurudi akiwa amekunywa/lewa zaidi ya mara 15,kuchelewa kupika,kuondoka bila kuaga

4.Nivumilie majibu yake mabaya,kununa nuna bila sababu,kumhudumia kwa kadri Mungu alivyonibariki katika haso zangu

5.Kutulia na kufocus na yeye na kuwaweka wanawake wengine kando ili kutengeneza future na yeye lakini naona kama bado hanielewi

Sasa kila nikimtazama namuona kama mtu ambaye hana focus,huwezi amini kwa miaka yote hii miwili hakuna siku aliyowahi nambia tujadili jambo la msingi au maendeleo zaidi ya kuomba hela za matumizi.
nlimwahidi kumfungulia biashara lakini napata hofu na wasiwasi mkubwa kama ntapigwa hela sababu sioni focus yake katika maisha.

Kwa miaka yote hii miwili amekuwa ni mtu ambaye yupo tu home hana msukumo au kuonyesha dalili zozote za kutaka kufanya kazi ni mpaka mimi nianzishe mada na kumwambie nataka afanye kazi sababu maisha yanabadilika.

Mpaka leo ni mtu ambaye hawezi kukwambia kazi njema ukitoka wala kukwambia za kazi au pole na kazi ukirudi na akifanya hivyo ni mpaka ajiskie tu
Tumekuwa tukigombana mara kwa mara hasa mwaka huu na mara nyingi tukigombana basi yeye huamua kuondoka na kwenda kwao sababu si mbali sana na hapa tunapoishi(sh 1000 tu kwa boda boda) na atakaa kimya asinitafute mpaka mimi ntakapomuanza.

Kisa hiki ndio kilichonleta kwako,majuzi baada ya kuamua kumtoa out sababu muda mwingi anakuwa bored kuwa home tukawa tumepata kilevi(wote tunakunywa).Tukiwa bar kuna majibu alinipa ambayo sikupendezwa nayo,tulivofika om aliendelea kunijibu vibaya nikaamua kumpiga naye akaamua kuchukua mawe na KUPASUA VIOO VYA GARI YANGU kama namna flani ya kulipiza kisasi na matusi juu,ambapo ameniingiza katika gharama kubwa za kutengeneza gari na ukizingatia bado namhudumia yeye,nalipa kodi+majukumu mengine

Baada ya kisa hiki nimekuwa nikiwaza mambo mengi hasa nikijumlisha na hayo yote nliyokuhadithia.kwasasa tupo hatuongei sana kama mwanzo ila tunaishi pamoja mimi nikienda kwenye mishe zangu huku yeye akiwa yuko home,Je wewe unanishaurije kuendelea nae au kuachana nae?

Je ungekuwa wewe ungemshauri nini Dogo?
Umenunua simu ya 1.4 na bado unatukanwa.

Iyo ya kupasua vioo vya gari huko ni kutafutiana sababu za kufungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka miwili hujamtia ata mimba??

Kwahiyo umemwambia dogo asubiri umuombee ushauli Jf??

Uyu dogo mbona kama ni wewe mwenyewe?

Nawaza tu.
 
Kwani unamaanisha kutekenya gani? Mimi ninajua kunifinya mbavuni. Kumbe umeenda mbali hivyo? Pole dume mwenzetu!
Una uhakika 100% mi kidume?

Utachekwa ujue.

Anyway hujanizoea around here, hujui mind set yangu ama ninavyoandika.

Wewe ni wa juzi tu afu unatafuta nitoke vipi kupitia kwangu.

Mpaka hapa nisha stoop sana kwa ku argue na wewe.
 
Una uhakika 100% mi kidume?

Utachekwa ujue.

Anyway hujanizoea around here, hujui mind set yangu ama ninavyoandika.

Wewe ni wa juzi tu afu unatafuta nitoke vipi kupitia kwangu.

Mpaka hapa nisha stoop sana kwa ku argue na wewe.
Tatizo ni uandishi, na ndio maana nina-doubt! Yaani una muandiko umekomaa kama kifuu cha nazi. Unakomaza sana muandiko!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom