Rodriquz
Member
- Aug 13, 2020
- 37
- 139
Najua humu kuna watu wenye busara na ushauri mzuri kabla cjafanya maamuzi,
Nistori ndefu lakn nafupisha,
Ipo hivi mm nimeoa mke nilimkuta single mother, mwanaume wake wa zamani ndio anatia doa maisha yetu. Mke wangu alijifungua watoto mapacha kwa op, nikapata kazi nje ya nchi. Huku nyuma kumbe jamaa kamchukua mke wangu na watoto kawasajiri majina yake ananitishia kuniua cku nikienda kumfata mke wangu.
Wanasemaga ni ujinga kugombania mwanamke lakini saa nyingene inabidi tu kufanya hivyo, kabla hatujabadilishana majengo ya Serikali, nipeni kwanza ushauri inauma sana
Nistori ndefu lakn nafupisha,
Ipo hivi mm nimeoa mke nilimkuta single mother, mwanaume wake wa zamani ndio anatia doa maisha yetu. Mke wangu alijifungua watoto mapacha kwa op, nikapata kazi nje ya nchi. Huku nyuma kumbe jamaa kamchukua mke wangu na watoto kawasajiri majina yake ananitishia kuniua cku nikienda kumfata mke wangu.
Wanasemaga ni ujinga kugombania mwanamke lakini saa nyingene inabidi tu kufanya hivyo, kabla hatujabadilishana majengo ya Serikali, nipeni kwanza ushauri inauma sana