Mzee alikua na benz yake matata na alikua ananyoa way flani hivi amazing...kawa diwani? Kweli maisha hayana adabu kutoka mining manager mpk diwani ...duh
Sie wapenz wa ngoma zake mbona tumeipokea uzuri tu wala hatunyimi haki ya kusikiliza mziki...ukitizama watu fln hivi wanatumia sana hilo neno mziki mzuri all the tym...umefanya study gani kujua wapenz wa diamond hawajaupokea wimbo huo vzr hali ya kua wimbo umetoka jana jioni ?
Kuna mti umeangukia nyaya zimedondoka chini hapa nyuma ya future resort karibu na garage, tunawapigia tanesco mbezi beach simu ziko busy tangu asubuhi na zikiita hawapokei, umeme tangu jana usiku umekatika, na nyaya zinaning'inia barabarani kitu ambacho ni hatari sana kwa wapita njia wa miguu...
Sheikhe huo utakua ushabiki kinachokufanya usielewe nini hapo?amesema asubuhi kulikua na watu wengi ila pindi muandishi anaenda pale watu walikua hakuna wameshapiga kura na wameenda zao, kwa safari hii hakuna purukushani sbb cuf hawajajitokeza wamesusia ndio maana hali iko hivyo
Hapo hapo wete wasimamizi wamesema watu wanapiga kura wanaenda zao kwa mfano ktk kituo kimoja wapo hapo wete msimamizi kasema anatakiwa kupigisha kura wapiga kura 320 tayari wameshajitokeza 216 so far,
Tatizo wamesaidiwa kupat kazi wasanii wa kigoma sio arusha wala mbeya ndio maana wanaoendekeza cheap political wameshupalia bango.
Zito hajafaanya kosa lolote zaidi kilichopo ni chuki binafsi za wahafidhina
haters wako everywhere..hawamchukii mwakyembe wanachukia mafanikio yake..kwani wao walikua wanategemea kufanikiwa ila hawajafanikiwa..duh kz kwelkweli..jembe mwakyembe piga kazi
Watanzania tuna tabia ya kuridhika hata kwa kibaya tulicho nacho badala ya kuendelea kutafuta kizuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.