Nendeni mkapime VDRL huuenda pia kuna kaswende iko weak pimeni hospital zinazo aminika utajua ila kama una mpezi razima wote mtibiwe hata kama yeye hana dalili lazima atibiwe na uliyewahi tembea nae mwambie atibiwe
Kuwa rubani ni kazi kidogo na sio lazima uwe PGM ndio uweze kuwa cha mhimu hesabu na kiingereza.
Na familiya yako iwe na fedha na si vijisent ndo utaweza kusoma Tanzania unaweza kwenda ulizia JNIA terminal one huwa naona kama wapo chuo cha umma nadhani hakuna.mshirikishe mungu sana unaweza...
Acheni hizo mulikuwa wapi muda wote toka muumiambiwa hamtaki wadogozenu wasome.Mgeenda mahakamani kwa ajili ya wanafunzi wapewe mkopo nigewaona wamaana sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.