Recent content by rockrich

  1. rockrich

    Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    x chaajabu hata sherehe hzo za muungano pesa hutoka bara pekee! na endapo ikitokea sherehe zinaahirishwa wanataka mgawanyo sawa wa fedha ambazo zi getumika kwenye sherehe.... sion faida yao hawa wa baharini
  2. rockrich

    Silaha za Laser: Marekani na mbio za silaha mpya za miale na mionzi (DEW) katika Karne ya 21

    tanzania tuhangaike kubuni madawa ya kuulia wadudu mashambani
  3. rockrich

    EX anataka kuwa mchepuko wangu

    Nimebariki maamuz yako mr.
  4. rockrich

    Malawi imeibuka tena sakata la mpaka Ziwa Nyasa

    kwani balozi polepole anasemaje!?
  5. rockrich

    Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

    na hayo mashati ya usalama amekutwa nayo mangapi? nataka kujua kama ni kosa kisheria maana mim ninayo 9
  6. rockrich

    Azam FC Vs Namungo; Kuvaa jezi rangi zinazoshabiihana imekaaje?

    wandaaji mnakwama wapi!?
  7. rockrich

    Azam FC Vs Namungo; Kuvaa jezi rangi zinazoshabiihana imekaaje?

    kufanana kwa jezi kati ya azam na namungo mechi ya jana tar 16... waandqaji wanakwama wapi!?
  8. rockrich

    Gari ipi inatumia mafuta zaidi kati ya IST/Raum

    Kwa wale wenye uelewa wa magari naomba kujua kilichobora zaidi kati ya RAUM na IST???
  9. rockrich

    Azam FC Vs Namungo; Kuvaa jezi rangi zinazoshabiihana imekaaje?

    upo sahihi mkuu!?nililiona hilo! huu ni uzembe mkubwa sana!!
  10. rockrich

    Ikibidi nitaacha Utumishi wa Umma ili niendelee kuwa huru

    mama samaia hana muda huo...
  11. rockrich

    Lukosi aliyeiba mabilioni TBS avamia Bandari

    ni yule mhehe wa makinikia!!???
  12. rockrich

    Simba ya 98 kwa ubora duniani

    hahahahahahqhq
  13. rockrich

    Msaada kuhusu leseni ya udereva iliyokwisha muda wake

    niunganishe na huyo sister kaka tafadhal nitamtoa
Back
Top Bottom