Recent content by Roboti Wa Nape

  1. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kasema kweli. Mbeya watu wanawahi sana kufunga biashara na kwenda kulala. Binafsi naona baridi inachangia pia. Kuhusu miundombinu, ni kweli barabara zinawatia aibu.
  2. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Afya & TANROADS, ingilieni kati hali ya vumbi jiji la Mbeya kabla haijageuka janga la afya ya umma

    Kimsingi ni kweli wananyanyasika. Haki ni mbaya na sasa ni zaidi ya miaka 3 au 4 serikali ikeshindwa kumalizia barabara ya rami kuanzia kipande cha kutoka Uyole hadi Mbalizi. Kiukweli wale watu wanateseka. Nilipita huko majuzi, sijajua nini wanatakiwa kufanya kuishinikiza serikali iwawekee...
  3. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania KARIBUNI MARATHON

    Karibuni kwenye Marathon mfaidi. Wazee wa VAR kazi kwenu.
  4. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maelekezo toka juu: Fungeni account za CHADEMA siku chache kabla ya mkutano mkuu, wape kesi ya utakatishaji

    Dah, nimechekakwa nguvu. Mwamba sijui umewazanini hii comment yako? 😂😂
  5. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Mambo ya Tanga

    Hahhaaaa
  6. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Mambo ya Tanga

    Video inajieleza. Uzi tayari.
  7. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania SI sahihi mwanamke aliye kwenye mahusiano au ndoa kuweka picha ya mtu yeyote maarufu wa kiume kwenye simu yake(wallpaper)

    Unavyo wekaga picha ya SAMIA kumbe ndio maana yake hiyo?
  8. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania SI sahihi mwanamke aliye kwenye mahusiano au ndoa kuweka picha ya mtu yeyote maarufu wa kiume kwenye simu yake(wallpaper)

    Kuweka ya Samia je na kumuita Mama yako wakati hujaweka hata siku 1 picha ya Mama yako aliyeko Nyang'wale ni sawa?
  9. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Kama na hawa wameachana basi, mahusiano ni magumu, aisee

    Nyie manungayembe, masalamanda, magumegume, manung'uniko, Mamong'oo na matutusa msiowahi kuolewa mliopo mitandaoni mkamuome wivu na mnafanya yenu hadi wakaachana. 😂😂🤣
  10. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

  11. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

    Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini. Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa. Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala...
  12. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania RESOLVED KERO DAWASA hawafungui maji Kimara mpaka tuwapost JF?

    Nyie si ndio mnajiita gaza sio? Nyie si ndio mlianzisha lile vuguvugu la 29 Oktoba, 2025? Jamaa wanawakazia ili Mjute.
  13. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Nilitaka kuandika comment kama hii. Umeniwahi. Cha kuongezea tu, mi nisingenuambia afiche ujinga wake bali ningemuambia "afiche uchi wa akili yake" kwani sisi tuliokuwa hatujawahi uona uchi wa akili yake, sasa tumeuona.
Back
Top Bottom