Recent content by Roboti Wa Nape

  1. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

  2. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

    Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini. Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa. Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala...
  3. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA hawafungui maji Kimara mpaka tuwapost JF?

    Nyie si ndio mnajiita gaza sio? Nyie si ndio mlianzisha lile vuguvugu la 29 Oktoba, 2025? Jamaa wanawakazia ili Mjute.
  4. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Nilitaka kuandika comment kama hii. Umeniwahi. Cha kuongezea tu, mi nisingenuambia afiche ujinga wake bali ningemuambia "afiche uchi wa akili yake" kwani sisi tuliokuwa hatujawahi uona uchi wa akili yake, sasa tumeuona.
  5. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Je, Dogma mantiki, na Imani vinaweza kupatanishwa? Au uchukuwe kimoja tu?

    Unapiga kelele tu. Lete andiko linalosema mimi Allah nimeumba bosi. Mbona unajizungusha? Angalia andiko hilo Isaya 45 12 Mimi nimeiumba dunia, nimemhuluku mwanadamu juu yake; Mimi, naam, mikono yangu mimi, imezitanda mbingu, na jeshi lake lote nimeliamuru lete andiko Allah anasema hivyo...
  6. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Je, Dogma mantiki, na Imani vinaweza kupatanishwa? Au uchukuwe kimoja tu?

    Mzee wa Blah blah. Lete andiko Allah anasema "Mimi Allah nimeumba Mbingu na nchi na vyote viijazavyo" leo nasilimu.
  7. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Hii ni aibu sasa, US wameingia Iran na kumuokoa rubani wa pili

    Wacha weeee. Muajemi wa Nanjirinjiri akiripoti na akiwa na taarifa za kiitelejensia na kijeshi za hali ya juu kuliko Rais Trump wa Marekani. Unaripoti moja kwa moja toka Tehran au sio?
  8. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Report ya CAG na upotevu wa nyeti wanaume umegundua nini?

    Pumbavu. Kwamba nyeti zinaibiwa na kwenda wapi? Zikishaibiwa unabakiwa na nini?
  9. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Kutoka JamboTV: Kufa kwa TISS shida ni CCM au TISS yenyewe?

    Yupo mmoja ni kada na alitokea UVCCM pale Iringa.
  10. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ninawashangaa sana nyie Wairani wa Mafisa kwa Mambi. Mnashambulia watu kwa matusi na kutaka watu wafanye kile na kupost kile mtakacho nyie. Kimsingi suala la vita hii limeoneshanuchi wa akili yenu nyie makobazi. Ni kulalamika, kutukana na kulazimisha wengine wafanye mtakacho nyie...
  11. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Ndio umekuja kujisifu sio. Ngoja tukule Mande na boda wenzangu.
  12. Roboti Wa Nape

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwamba ulitegemea hakuna vita itakayoumiza wote mkuu wangu?
Back
Top Bottom