Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala...
Nilitaka kuandika comment kama hii. Umeniwahi. Cha kuongezea tu, mi nisingenuambia afiche ujinga wake bali ningemuambia "afiche uchi wa akili yake" kwani sisi tuliokuwa hatujawahi uona uchi wa akili yake, sasa tumeuona.
Unapiga kelele tu. Lete andiko linalosema mimi Allah nimeumba bosi. Mbona unajizungusha?
Angalia andiko hilo
Isaya 45
12 Mimi nimeiumba dunia, nimemhuluku mwanadamu juu yake; Mimi, naam, mikono yangu mimi, imezitanda mbingu, na jeshi lake lote nimeliamuru
lete andiko Allah anasema hivyo...
Wacha weeee. Muajemi wa Nanjirinjiri akiripoti na akiwa na taarifa za kiitelejensia na kijeshi za hali ya juu kuliko Rais Trump wa Marekani.
Unaripoti moja kwa moja toka Tehran au sio?
Ninawashangaa sana nyie Wairani wa Mafisa kwa Mambi. Mnashambulia watu kwa matusi na kutaka watu wafanye kile na kupost kile mtakacho nyie.
Kimsingi suala la vita hii limeoneshanuchi wa akili yenu nyie makobazi. Ni kulalamika, kutukana na kulazimisha wengine wafanye mtakacho nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.