SI sahihi mwanamke aliye kwenye mahusiano au ndoa kuweka picha ya mtu yeyote maarufu wa kiume kwenye simu yake(wallpaper)

SI sahihi mwanamke aliye kwenye mahusiano au ndoa kuweka picha ya mtu yeyote maarufu wa kiume kwenye simu yake(wallpaper)

Hizi ni akili za kitoto sana , mwanamke this mwanamke that.

Wewe unaweza ukawajua vipi wanawake ikiwa wewe sio mwanamke.

Ni sawa na Masikini awajue matajiri wakati hajawahi kuwa tajiri

Is about hearsays
Hahahaha umeongea ujinga sana mkuu.

Maandiko yanasema kabisa muishi nao kwa akili...

Kama unataka ndoa ya amani Kuna umuhimu sana wa kumjua mwanamke wao na sio mwanamke ni wanawake
 
Hahahaha mkuu umeongea kwa logic bora aweke paka, huu ni ukweli Sasa kama umeoa mwanamke unamuhudumia unampa furaha hatakiwi kuwa na mapenzi na mtu mwingine.

Nina mfano wewe ni mfupi mnene una kitambi alafu wallpaper ameweka mtu mlefu mwenye six part kutoka huko Europe.

Hii Inaa maana amekupenda wewe Kama last option ila warefu wenye six pack ndio mambo yake.

Mkuu, kwa mfano huu Niko sahihi?
Mkuu,wanawake hua hawaeleweki,anaweza kumpata huyo mwenye 6 pack halafu akaja kutafunwa na mwenye kitambi.
 
Hahahaha mkuu umeongea kwa logic bora aweke paka, huu ni ukweli Sasa kama umeoa mwanamke unamuhudumia unampa furaha hatakiwi kuwa na mapenzi na mtu mwingine.

Nina mfano wewe ni mfupi mnene una kitambi alafu wallpaper ameweka mtu mlefu mwenye six part kutoka huko Europe.

Hii Inaa maana amekupenda wewe Kama last option ila warefu wenye six pack ndio mambo yake.

Mkuu, kwa mfano huu Niko sahihi?
Upo sahihi sana mkuu, hapo ujue kabisa akikutana na mchaga mweupe kidogo anaekaribia hiyo description lazima ampe mbususu.. Hao wajinga wajinga wanaoona haya ni mawazo ya kitoto waendelee kutulele madem zetu.
 
Ukiona mwanamke ameweka picha ya mwanaume mashuhuri Kama mbappe, Fei toto nawengine wengi basi hao ndo anamapenzi nao na anawapenda..

Kwanini Yuko na wewe? Kwasababu Hana uwezo wa kukutana nao.

Saikolojia ya mwanamke inaongea zaidi kwa vitendo sio maneno
Nimewekwa nini kwenye wallpaper ya mkeo?
 
Hahahaha umeongea ujinga sana mkuu.

Maandiko yanasema kabisa muishi nao kwa akili...

Kama unataka ndoa ya amani Kuna umuhimu sana wa kumjua mwanamke wao na sio mwanamke ni wanawake
I'm still fighting with black tax. Siwezi kuyajua yote hayo mkuu👊👊
 
SIO SAHIHI......
Wanawake wengi wanaolewa kwa ajili ya manufaa ya kiuchumi na ugumu wa maisha lakini kwa mapenzi.....na hali hii inajionesha wazi wazi kwenye mambo madogo madogo katika maisha ya kila siku.......

Linaweza kuonekana kuwa ni jambo la kitoto lakini lina maana na athari kubwa kwenye ulimwengu wa roho na mapenzi kwa ujumla wake......

Nje ya uanamichezo wa huyo aliyemuweka hapo lakini pia huyo ni mwanamume kama alavyo mumewe...... kuweka picha yake dhahiri watu waone kuna tuma ujumbe kuwa huyo ndio chaguo la moyo wake!!!!

Hilo jambo hata kama atalipuuzia ili asionekane immature lakini kwa ego ya kiume litamtafuna sana na wakati mwingine linaweza hata kuathiri utendaji kazi wa "usiku"......
 
SIO SAHIHI......
Wanawake wengi wanaolewa kwa ajili ya manufaa ya kiuchumi na ugumu wa maisha lakini kwa mapenzi.....na hali hii inajionesha wazi wazi kwenye mambo madogo madogo katika maisha ya kila siku.......

Linaweza kuonekana kuwa ni jambo la kitoto lakini lina maana na athari kubwa kwenye ulimwengu wa roho na mapenzi kwa ujumla wake......

Nje ya uanamichezo wa huyo aliyemuweka hapo lakini pia huyo ni mwanamume kama alavyo mumewe...... kuweka picha yake dhahiri watu waone kuna tuma ujumbe kuwa huyo ndio chaguo la moyo wake!!!!

Hilo jambo hata kama atalipuuzia ili asionekane immature lakini kwa ego ya kiume litamtafuna sana na wakati mwingine linaweza hata kuathiri utendaji kazi wa "usiku"......
Akili kubwa mkuu..
Nashukuru sana
 
Kama unataka ndoa ya amani Kuna umuhimu sana wa kumjua mwanamke wao na sio mwanamke ni wanawake
Nimesoma hii sehem kama mara tano hivi na bado sijaelewa. Natamani kujua nani mjinga kati yangu mimi ambae sijaelewa au wewe ulie andika vitu visivyo eleweka???
 
SIO SAHIHI......
Wanawake wengi wanaolewa kwa ajili ya manufaa ya kiuchumi na ugumu wa maisha lakini kwa mapenzi.....na hali hii inajionesha wazi wazi kwenye mambo madogo madogo katika maisha ya kila siku.......

Linaweza kuonekana kuwa ni jambo la kitoto lakini lina maana na athari kubwa kwenye ulimwengu wa roho na mapenzi kwa ujumla wake......

Nje ya uanamichezo wa huyo aliyemuweka hapo lakini pia huyo ni mwanamume kama alavyo mumewe...... kuweka picha yake dhahiri watu waone kuna tuma ujumbe kuwa huyo ndio chaguo la moyo wake!!!!

Hilo jambo hata kama atalipuuzia ili asionekane immature lakini kwa ego ya kiume litamtafuna sana na wakati mwingine linaweza hata kuathiri utendaji kazi wa "usiku"......
Unastahili sanamu lako ofisi za posta mkoa unaishi.. Asante sana
 
Nimesoma hii sehem kama mara tano hivi na bado sijaelewa. Natamani kujua nani mjinga kati yangu mimi ambae sijaelewa au wewe ulie andika vitu visivyo eleweka???
Sina maana wewe ni mjinga kaka na hii comment sijacommet kwako kumradhi..

Pili kwa misimamo yako bado nipo upande wako.

Nina maana, Kama unataka ndoa ya amani na upendo ni lazima kujua saikolojia ya mwanamke ili asikusumbue na sio mwanamke mmoja ambae unatakiwa kujua saikolojia yake ni wanawake wote tu.

Umenielewa kaka?
 
Ukiona mwanamke ameweka picha ya mwanaume mashuhuri Kama mbappe, Fei toto nawengine wengi basi hao ndo anamapenzi nao na anawapenda..

Kwanini Yuko na wewe? Kwasababu Hana uwezo wa kukutana nao.

Saikolojia ya mwanamke inaongea zaidi kwa vitendo sio maneno
nadhani hata kuweka picha ya huyo mchumba wake tu sio sahihi hata kidogo
 
Akijaribu kufanya huo upuuzi namimi naweka picha ya limshangazi ambalo nalitafuna kweli.
Kwanza anaanzaje?
 
Kuweka ya Samia je na kumuita Mama yako wakati hujaweka hata siku 1 picha ya Mama yako aliyeko Nyang'wale ni sawa?
thats very right politically speaking,
because that is the SYMBOL OF NATIONAL UNITY

inafaa kua kwenye status au wallpaper ya kila mTanzania

 
Ukiona mwanamke ameweka picha ya mwanaume mashuhuri Kama mbappe, Fei toto nawengine wengi basi hao ndo anamapenzi nao na anawapenda..

Kwanini Yuko na wewe? Kwasababu Hana uwezo wa kukutana nao.

Saikolojia ya mwanamke inaongea zaidi kwa vitendo sio maneno
Hayo ni mambo madogo sana,muhimu ni kutambua kuwa yupo kwenye ndoa na kuiheshimu ndoa
 
Back
Top Bottom