Kwani kaka,kina manyika,isiaka,ndemla,kessy,tshabalala,ajibu,wapo sawa kwa umri na kina Joshua,canavaro,yondani,ngasa,niyonzima,twite,na sherman.?
Swala la msingi ni kusema na kukubali kuwa. Wachezaji wa simba wengi hawana hadhi ya kucheza simba na pia hawana uzoefu wa kutosha.