Kweli kabisa mitandao inabaini mapema kabisa! Ktk kupanga bajeti za nchi, bajeti inaongezwa kutegemea nani ni waziri, na anapangiwa makatibu wakuu wa aina fulani. Trend hii ilijionesha kwa Bashe. akaja na program ya mfukoni, akafanya ufisadi anavyotaka, mitandao tukaandika, akina Mpina wakauliza...
Maadili ya NYOKO!
Kwani ile habari ya kiongozi wao kuwa msagaji ni maadili au ni nini? CAG anawataja Gen-Z kwamba ndo wameiba pesa ya umma? Yanaiba uzeeni halafu yanasema Gen-Z maadili.
I have seen Kenyans commenting about the state of Tanzania’s political leadership, especially regarding the recent comments made by Samia. Let me explain this to you, Kenyans, hoping that you will understand the circumstances in which all of this is happening.
Tanzania's leadership is not a...
Xi Jinping yuko mbele kwa umri na bado anajua njia ya kupita.
Maana yangu ni kwamba tatizo la CCM wameshindwa kuangalia makuzi ya viongozi wao. Hata ukiwa na miaka 30 au 40, kama makuzi ni ya hovyo kama ya akina Kiziga, Lugumi, Abdul, nk. hutaweza kuwa kiongozi wa maana.
Ukiwa na makuzi ya...
Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu vinaendeshwa kishenz. Nasema tena Kishenz! Ni aibu kuwa na viongozi wa aina hiyo, halafu ukasema ni chuo...
Tume ya maridhiano iliyokuwa ya kutolea mfano ni ile ya Afrika ya kusini. Matatizo ya Afrika Kusini yalitokana na siasa za ubaguzi wa rangi. Baada ya siasa hizo kutoweka, Ndo ikaundwa Tume ya maridhiano. ilikuwa salama kwa sababu hakuna jinsi siasa hizo zinaweza kurudi nchini kwao.
Kenya...
Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi.
Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna...
Matukio ya karibuni yanaonyesha mifano dhahiri kwamba viongozi ni watu wa kejeli kama kuwataka wananchi “waende Burundi” badala ya kujisahihisha, na uteuzi wa watu wanaofahamu maovu ya serikali lakini wanapewa nafasi za juu kana kwamba lengo ni kufunika yaliyovunda.
Wananchi wameonesha wazi...
Maneno yenu kama Muliro na Chalamila. Vitisho lakini tarehe 9 mutahama nyumbani. Sisi tutaandamana maana waliouwawa ni wale waliobaki nyumbani, ndani ya fensi. Au unadhani kikosi cha mauaji kiliwinda akina nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.