Muulize hao vijana wametoka chuo gani? Siyo elimu kuwa sijui nini, ni suala la vyuo kuchipuka bila viwango. Lakini huyo HR mwenyewe ana uelewa gani? Tusijekuiwa tunajadili maoni ya kiwango hovyo. Siyo wmmoja wa wale wa Mzumbe? alikosoma na fulani fulani?
Tufahamishane kwamba, ni kweli takribani nusu ya wanafunzi wa SUA wameshindwa kuhitimu ktk mahafali ya mwezi Novemba 2023 kama ilivyo kawaida ya miaka yote, na wanatakiwa kurudia mitihani baada ya mwaka mzima wa kusubilia mitihani. Sababu kubwa ni maamuzi mabaya ya viongozi wa chuo. Waliamua...
Naomba niwatolee uvivu hawa maprofesa mshenzi wa nchi hii. Nawaita mshenzi kwa sababu wamepoteza vichwa vya kufikiri.
Tatizo la hizi wizara, unakuta waziri anahangaika kuzima matatizo ndani ya wizara yake yasifike kwa aliyewateua. Unakuta badala ta kuwasimamia waharibifu wa elimu, anaanza...
Another rubbish! Umeulizwa nini malengo yake kuanzisha kampasi mpya wakati ana majengo ambayo hayana wanafunzi? Wewe unaishia kusimulia hadithi za mtandaoni na kusema wenzetu. Nigeria ni wenzako? Wenzako ya nyoko!
Unahesabu idadi ya vyuo vya Nigeria unasema ni wenzako. Mwambieni aache ukabila...
Nimeona wanasiasa wakishindana kuingiza watoto wao ktk siasa kana kwamba ni sehemu nzuri ya makuzi yao. Naona Mwigulu, Slaa, nk. wote wanatangaza vitoto vyao ktk siasa na huenda rushwa inatembea ili vishinde. Wakati huo huo wengine wanaambiwa kuna fursa Israel, pamoja na hatari ya vita. Matatizo...
Ukiangalia historia ya serikali hii, haijawahi kusema ukweli kwa jambo lolote. Unaambiwa mazingira Ngorongoro, kumbe Mwarabu kanunua na kuwapa chochote wahusika. Unaambiwa wasaidieni wahanga wa tetemeko la ardhi kumbe wanajengea miundombinu ya serikali. Unaabiwa VP yuko na kazi maalumu kumbe...
Naamini unaunga mkono kiukabila. HUwezi kuona mtu anapoteza pesa za chuo bila sababu. Sababu ya kampasi mpya ni nini? UDOM imefikia kiwango chake cha udahili?
Mtu hajafikisha mal;engo ya chuo anachokiongoza, anaanzisha kampasi mpya. Yaani kila sehemu kuwe na majengo yasiyo na wanafunzi...
Yaani ka-mkoa kenye watu laki 8! Kamkoa kasikokuwa na wasomi! Mwanafunzi atakayekwenda kusoma huko anatafuta kulogwa tu!
Mikoa ya Kigoma, Shinyanga, Lindi na Mtwara inastahili heshima hiyo kwa wingi wa watu. Hope Njombe ni bonge ya ukabila.
VC Kusiluka anatoka Njombe
Katibu mkuu kionmgozi...
Baadhi ya thrd munazileta ili kutuharibia afya yetu. Ukisikiliza vituko vya serikali hizi, unaweza kutapika.
Rais anakwenda kutafuta biashara binafsi kwa kutumia pesa za serikali, anapongezwa kwa safari ya Dubai. Marais wengine wanatoa hotuba na kuondoka, yeye anabaki utadhani ana umuhimu kuliko...
Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale!
Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku.
Eneo hili...
Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale!
Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku.
Eneo hili...
Vitabu feki tu! Nilikata tamaa nilipoona Mkitabu cha MWinyi kinashindwa kueleza kitendo chake cha kwenda Uwanja wa Taifa kucheza mziki wa Kanda Bongo Man, wakati Madaktari wamegoma, nikajua wanatuandikia wanayotaka ili watukuzwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.