Recent content by robinson crusoe

  1. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Serikali ijiondoe kwenye mambo ya kuunda Tume ya Uchunguzi kwani Mtawala aliyopo madarakani anahusika na Vurugu za 2025

    KIbaka akikupa taarifa ya wezi wenzake utaikataa? Au leo hii Kikwete akikupa taarifa ya wizi wa Sam,ia utakataa kwa sababu na yeye aliiba?
  2. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Wale Wanaoshabikia MARIDHIANO Someni maono ya kisomi, Siyo Siasa mbovu

    Kwa maelezo haya unachoweza kusema ni kwamba tuna rais mwenye uwezo mdogo kabisa Afrika Mashariki. Jambo baya kabisa yuko kwenye kundi la madikteta waliowahi tawala nchi ya Afrika. Kwa Afrika Mashariki, tangu tupate UHuru, huyu ni dikteta wa pili kujitokeza baada ya Idd Amin
  3. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkenda Anendesha Sera ya Wizi Kupitia Samia Scholarship Program

    Hali ya Tanzania kwa sasa ufisadi hakuna sababu ya kusema kuna ufisadi, kwa sababu ni kama imeruhusiwa na viongozi wa nchi, lakini ni vibaya sana kwa tunaoona yanyaofanyika kunyamaza bila sababu pia. Waziri Mkenda anaendelea kung'ang'ania sula la Samia scholarship kwa kisingizio cha kuinua...
  4. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Correction ya lugha ya watu andika hivi: ........ Where does Mhe Makonda come from? Auxiliary verb 'does' is already in the past/present tense, so the main verb stays in base form.
  5. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Dah! Naamini unaandika haya ili naye aone unavyomtetea. Labda kwa zawadi yoyote ktk wizara hiyo. Ukweli utabaki kwamba ubora wake uko chini. Unakumbuka alivyomvamia mzee Warioba mbele ya kamera? Nahisi una tatizo la msingi.
  6. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania IOC na ANOCA Zamtambua Anthony Mtaka kama Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC)

    Hata kule BAKWATA wanaingilia. Kule KKKT ndo kabisa! Anglican wao walishachoka tu! Kikwazo ni kwa masela wa Katoliki.
  7. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Braza! Nadhani huwa una papara sana na michango yako! Unajisikiaje baada ya kuona Mtaka kapewa kuwa Boss wa Olympic wakati aliyetangazwa ni mtu mwingine. Kwamba Makonda hakuwepo wapi? Duniani? Unahitaji kujitafakari sana.
  8. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Nimeona taarifa za malalamiko toka Z'bar. Nimeona tena taarifa ya maandishi toka kwa mjumbe wa Bara. Wote wanasema Mshindi wa nafasi alikuwa Antony Mtaka, badala yake kapewa mtu aliyepata kura moja, kwa amri ya Makonda. Nasema hivi kama tumefikia hatua hii, kwamba tuna mawaziri hovyo kiasi hiki...
  9. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kainerugaba Msemakweli na mafisadi wa elimu

    Hapa alikuwepo Emmanuel Nchimbi Makongoro Mahanga Wiliam Lukuvi Mary Nagu
  10. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania LENGO NI WIZI: Mkwe yuko wizara ya Afya bajeti imeongezwa. Bashe alikuwa Kilimo bajeti ikaongezwa

    Kweli kabisa mitandao inabaini mapema kabisa! Ktk kupanga bajeti za nchi, bajeti inaongezwa kutegemea nani ni waziri, na anapangiwa makatibu wakuu wa aina fulani. Trend hii ilijionesha kwa Bashe. akaja na program ya mfukoni, akafanya ufisadi anavyotaka, mitandao tukaandika, akina Mpina wakauliza...
  11. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Dalili za kupenda Utumwa ziko hadi Bungeni. Lugha nje ya kanuni zaachiwa kuzungumzwa Bungeni

    Hili ndo lilimpa talaka mume wa Zenj, halafu likahamia kwa Aweso? Idiot!
  12. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Dalili za kupenda Utumwa ziko hadi Bungeni. Lugha nje ya kanuni zaachiwa kuzungumzwa Bungeni

    Maadili ya NYOKO! Kwani ile habari ya kiongozi wao kuwa msagaji ni maadili au ni nini? CAG anawataja Gen-Z kwamba ndo wameiba pesa ya umma? Yanaiba uzeeni halafu yanasema Gen-Z maadili.
  13. robinson crusoe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyas! Tanzanians feel sorry for what happened

    I have seen Kenyans commenting about the state of Tanzania’s political leadership, especially regarding the recent comments made by Samia. Let me explain this to you, Kenyans, hoping that you will understand the circumstances in which all of this is happening. Tanzania's leadership is not a...
  14. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Xi Jinping yuko mbele kwa umri na bado anajua njia ya kupita. Maana yangu ni kwamba tatizo la CCM wameshindwa kuangalia makuzi ya viongozi wao. Hata ukiwa na miaka 30 au 40, kama makuzi ni ya hovyo kama ya akina Kiziga, Lugumi, Abdul, nk. hutaweza kuwa kiongozi wa maana. Ukiwa na makuzi ya...
  15. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mkenda lini utasimamia na kuondoa uzembe katika Uongozi wa Vyuo Vikuu?

    Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu vinaendeshwa kishenz. Nasema tena Kishenz! Ni aibu kuwa na viongozi wa aina hiyo, halafu ukasema ni chuo...
Back
Top Bottom