Recent content by robinson crusoe

  1. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kainerugaba Msemakweli na mafisadi wa elimu

    Hapa alikuwepo Emmanuel Nchimbi Makongoro Mahanga Wiliam Lukuvi Mary Nagu
  2. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania LENGO NI WIZI: Mkwe yuko wizara ya Afya bajeti imeongezwa. Bashe alikuwa Kilimo bajeti ikaongezwa

    Kweli kabisa mitandao inabaini mapema kabisa! Ktk kupanga bajeti za nchi, bajeti inaongezwa kutegemea nani ni waziri, na anapangiwa makatibu wakuu wa aina fulani. Trend hii ilijionesha kwa Bashe. akaja na program ya mfukoni, akafanya ufisadi anavyotaka, mitandao tukaandika, akina Mpina wakauliza...
  3. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Dalili za kupenda Utumwa ziko hadi Bungeni. Lugha nje ya kanuni zaachiwa kuzungumzwa Bungeni

    Hili ndo lilimpa talaka mume wa Zenj, halafu likahamia kwa Aweso? Idiot!
  4. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Dalili za kupenda Utumwa ziko hadi Bungeni. Lugha nje ya kanuni zaachiwa kuzungumzwa Bungeni

    Maadili ya NYOKO! Kwani ile habari ya kiongozi wao kuwa msagaji ni maadili au ni nini? CAG anawataja Gen-Z kwamba ndo wameiba pesa ya umma? Yanaiba uzeeni halafu yanasema Gen-Z maadili.
  5. robinson crusoe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyas! Tanzanians feel sorry for what happened

    I have seen Kenyans commenting about the state of Tanzania’s political leadership, especially regarding the recent comments made by Samia. Let me explain this to you, Kenyans, hoping that you will understand the circumstances in which all of this is happening. Tanzania's leadership is not a...
  6. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Xi Jinping yuko mbele kwa umri na bado anajua njia ya kupita. Maana yangu ni kwamba tatizo la CCM wameshindwa kuangalia makuzi ya viongozi wao. Hata ukiwa na miaka 30 au 40, kama makuzi ni ya hovyo kama ya akina Kiziga, Lugumi, Abdul, nk. hutaweza kuwa kiongozi wa maana. Ukiwa na makuzi ya...
  7. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mkenda lini utasimamia na kuondoa uzembe katika Uongozi wa Vyuo Vikuu?

    Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu vinaendeshwa kishenz. Nasema tena Kishenz! Ni aibu kuwa na viongozi wa aina hiyo, halafu ukasema ni chuo...
  8. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kambarage Wasira akiomba kura kwa wabunge kumchagua kuwakilisha katika Bunge la EALA

    KIsha anza kuwa na sura ya baba, tayari!
  9. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania TANZANIA Kutafuta Maridhiano ni Ujinga wa kisiasa! Elimu inaruhusu kuona ujinga huo

    Tume ya maridhiano iliyokuwa ya kutolea mfano ni ile ya Afrika ya kusini. Matatizo ya Afrika Kusini yalitokana na siasa za ubaguzi wa rangi. Baada ya siasa hizo kutoweka, Ndo ikaundwa Tume ya maridhiano. ilikuwa salama kwa sababu hakuna jinsi siasa hizo zinaweza kurudi nchini kwao. Kenya...
  10. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Wewe ni bwege! Amini hivyo. Hata uandikaji wako unaonesha ni bwege.
  11. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Unachoandika kinaashilia ujinga tu! yaani amezaliwa na utajili! We bwege tu!
  12. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

    Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi. Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna...
  13. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Samia na sababu za 'kutapatapa'; Ooh, nchi jirani! Ooh, walilipwa!

    Hapo hapo kwenye maridhiano, hivi akili imo?Hatari ya elimu ya hapa na pale
  14. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania CCM Sikio la kufa. Wezi wameanza kuunda baraza la mawaziri

    Matukio ya karibuni yanaonyesha mifano dhahiri kwamba viongozi ni watu wa kejeli kama kuwataka wananchi “waende Burundi” badala ya kujisahihisha, na uteuzi wa watu wanaofahamu maovu ya serikali lakini wanapewa nafasi za juu kana kwamba lengo ni kufunika yaliyovunda. Wananchi wameonesha wazi...
  15. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    Maneno yenu kama Muliro na Chalamila. Vitisho lakini tarehe 9 mutahama nyumbani. Sisi tutaandamana maana waliouwawa ni wale waliobaki nyumbani, ndani ya fensi. Au unadhani kikosi cha mauaji kiliwinda akina nani?
Back
Top Bottom