Kwa maelezo haya unachoweza kusema ni kwamba tuna rais mwenye uwezo mdogo kabisa Afrika Mashariki.
Jambo baya kabisa yuko kwenye kundi la madikteta waliowahi tawala nchi ya Afrika. Kwa Afrika Mashariki, tangu tupate UHuru, huyu ni dikteta wa pili kujitokeza baada ya Idd Amin
Hali ya Tanzania kwa sasa ufisadi hakuna sababu ya kusema kuna ufisadi, kwa sababu ni kama imeruhusiwa na viongozi wa nchi, lakini ni vibaya sana kwa tunaoona yanyaofanyika kunyamaza bila sababu pia.
Waziri Mkenda anaendelea kung'ang'ania sula la Samia scholarship kwa kisingizio cha kuinua...
Correction ya lugha ya watu andika hivi:
........ Where does Mhe Makonda come from?
Auxiliary verb 'does' is already in the past/present tense, so the main verb stays in base form.
Dah! Naamini unaandika haya ili naye aone unavyomtetea. Labda kwa zawadi yoyote ktk wizara hiyo. Ukweli utabaki kwamba ubora wake uko chini.
Unakumbuka alivyomvamia mzee Warioba mbele ya kamera? Nahisi una tatizo la msingi.
Braza! Nadhani huwa una papara sana na michango yako! Unajisikiaje baada ya kuona Mtaka kapewa kuwa Boss wa Olympic wakati aliyetangazwa ni mtu mwingine. Kwamba Makonda hakuwepo wapi? Duniani?
Unahitaji kujitafakari sana.
Nimeona taarifa za malalamiko toka Z'bar. Nimeona tena taarifa ya maandishi toka kwa mjumbe wa Bara. Wote wanasema Mshindi wa nafasi alikuwa Antony Mtaka, badala yake kapewa mtu aliyepata kura moja, kwa amri ya Makonda.
Nasema hivi kama tumefikia hatua hii, kwamba tuna mawaziri hovyo kiasi hiki...
Kweli kabisa mitandao inabaini mapema kabisa! Ktk kupanga bajeti za nchi, bajeti inaongezwa kutegemea nani ni waziri, na anapangiwa makatibu wakuu wa aina fulani. Trend hii ilijionesha kwa Bashe. akaja na program ya mfukoni, akafanya ufisadi anavyotaka, mitandao tukaandika, akina Mpina wakauliza...
Maadili ya NYOKO!
Kwani ile habari ya kiongozi wao kuwa msagaji ni maadili au ni nini? CAG anawataja Gen-Z kwamba ndo wameiba pesa ya umma? Yanaiba uzeeni halafu yanasema Gen-Z maadili.
I have seen Kenyans commenting about the state of Tanzania’s political leadership, especially regarding the recent comments made by Samia. Let me explain this to you, Kenyans, hoping that you will understand the circumstances in which all of this is happening.
Tanzania's leadership is not a...
Xi Jinping yuko mbele kwa umri na bado anajua njia ya kupita.
Maana yangu ni kwamba tatizo la CCM wameshindwa kuangalia makuzi ya viongozi wao. Hata ukiwa na miaka 30 au 40, kama makuzi ni ya hovyo kama ya akina Kiziga, Lugumi, Abdul, nk. hutaweza kuwa kiongozi wa maana.
Ukiwa na makuzi ya...
Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu vinaendeshwa kishenz. Nasema tena Kishenz! Ni aibu kuwa na viongozi wa aina hiyo, halafu ukasema ni chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.