Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi.
Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna...
Matukio ya karibuni yanaonyesha mifano dhahiri kwamba viongozi ni watu wa kejeli kama kuwataka wananchi “waende Burundi” badala ya kujisahihisha, na uteuzi wa watu wanaofahamu maovu ya serikali lakini wanapewa nafasi za juu kana kwamba lengo ni kufunika yaliyovunda.
Wananchi wameonesha wazi...
Maneno yenu kama Muliro na Chalamila. Vitisho lakini tarehe 9 mutahama nyumbani. Sisi tutaandamana maana waliouwawa ni wale waliobaki nyumbani, ndani ya fensi. Au unadhani kikosi cha mauaji kiliwinda akina nani?
Kwa lugha lainishi kuna hadithi kwamba viongozi ni warafi wa madaraka ndo maana hawataki kuachia nafasi. Mimi nasema HAPANA! Siyo madaraka, tatizo kubwa ni wizi wa pesa na mali ya umma uliofanywa na unaofanywa na viongozi wa CCM. Mawaziri wamekuwa ni wezi wa mali ya umma, Rais ni mwizi wa mali...
Tutoe taarifa kama anavyoihitaji. Walioko TZ tuwadaharau. Tangu rais wao na wakuu wa mikoa na polisi hakuna aliyekemea janga hili. Yawezekena Polisi hawakuwa na nguvu, lakini kwa nini CDF naye alikuwa kimya bila sababu?
Kwa nini wauaji walivaa kiraia na siraha za kijenshi na siyo za polisi?
Taarifa zilizosikika ni kwamba mmoja wa 'wauaji' toka Uganda, alidondosha kitambulisho mitaa ya Dar. Naomba kwa yeyote anayeweza kupata kitambulisho hicho, yeye mwenyewe au ndugu, au jilani, tafadhari piga oicha au toa nakara yake kwa matumizi ya ushahidi. nitumie inbox au tuma hapa jamvini wote...
Mtu mjinga hata akiamua kujinyonga, huchagua tawi la mpapai. Yaani hawezi hata kujinyonga. Tanzania tuna bahati mbaya sana kwa sasa maana ktk eneo hili la EAC ni sisi tu ndo tunaongozwa na mtu ambaye hajawahi kuwa ktk college yoyote!
Wale wanaodharau elimu, huu ndo mfano mzuri wa kufundishia...
CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu.
Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha.
Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura.
Tunachezewa sana! Eti...
Rostam Aziz imekuwa ni jina la kifisadi ambalo ndani yake wamo mafisadi wa kutosha sana! Mafisadi sasa wanajiunga na kutumia jina moja la kufanyia ufisadi.
Nchi nzima inaendeshwa na kundi la kifisadi. ndo maana tunaona mtuhumiwa ana ushujaa wa kujieleza na kupewa mwandishi amsaidie kujitetea.
Bashe aende Somalia bhana!
Hawa tunawajua mambo yao! Kwa nini wanaiba pesa za wizara ya Kilimo kwa pamoja, halafu anajidai kuleta ombi la kuundiwa mkoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.