Recent content by robinson crusoe

  1. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania UVCCM wameandika barua kwa niaba ya NCHIMBI ikasambazwa kwa kutumia pesa, Nchimbi kanyimwa nafasi ya kukanusha.

    Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo ili ionekane ni barua halali. Wanachohakikisha ni kwamba Nchimbi hapati nafasi ya kuzungumza jukwaani...
  2. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Taarifa FEKI!!!!!!! Barua gani hii yenye anuani za ajabu tu? Au ni UVCCM wanawinda kufanya kama ya Ndugai? NCHIMBI shikilia hapo hapoa!
  3. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watu Wazuri Wanaendelea Kutushauri wa-Tanzania Juu ya Mkwamo Ulioko Nchini

  4. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Hiyo ulifundishwa darasani, eti? Mukitaka kuchangia JF acheni masomo ya darasani, leteni ufahamu mulionao vichwani. Munaishia kutaja vijineno vya darasani mukiamini ndo nchi ilivyo.
  5. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Inakuwa ya 'Nyoko!' Unaelewa maana ya uchumi kukuwa? Miradi yote ilianzishwa na Magufuli, nayo imemshinda! Huyu kaanzisha nini? Hizi hadithi zenu za kusifia mtu hovyo ndo zinatufanya miaka yote tubaki hovyo! Kila mjinga wa CCM akiingia munasifia. Kila mwaka wakati hakuna lolote miaka 60 ya...
  6. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Samia aliposema ana macho yaliyolegea, ulimkumbusha taarabu kwamba kapigwa pasi?
  7. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Ndo maana nikasema hii siyo taaluma yako. Unachofanya ni kuandika nadharia za darasani; Hayo mambo ya agri-tourism. CCM lazima waambiwe waache ujinga ktk nchi. Lazima itumike lugha kali. Nchi iko hovyo kuliko unavyoamini. Uwezo wa viongozi ni mdogo kuliko unavyoaamini. Rais anatafuta misaada...
  8. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania BGR Group: Serikali ya Tanzania Inahangaika Kujisafisha Kimataifa kwa Kutumia Pesa za walipa kodi

    Nasikia wanahangika sana ili kuleta viongozi wa nje kuonesha anaungwa mkono, na wanajaribu kuhonga ili akaribishwe US. Hiyo bado imekwama.
  9. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Nahisi hiyo siyo taaluma yako na hujui uwezo wa DRC ktk kilimo. Anakuja kulima nini TZ? Mahindi na Mpunga? ardhi iko wapi? au kuwafukuza wenyeji kama alivyofanya Mkapa na kulima miwa kwa kiwanda cha Mtibwa? Tuache kuhamisha ujamaa wa CCM na kuamini fikra sahihi ndo mafanikio ya nchi. Fursa za...
  10. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania BGR Group: Serikali ya Tanzania Inahangaika Kujisafisha Kimataifa kwa Kutumia Pesa za walipa kodi

    Hii ni taarifa ambayo imekuwepo kwa muda kupitia Asasi zisizo za kiserikali. Ukiwa na elimu unashindwa kuamini haraka kwamba kweli tunaongozwa na watu wadhaifu kichwani kiasi hiki? Yaani huu ndo mwisho wa kufikiri wa wana CCM na serikali wanayaosema ni yao? Soma hapa...
  11. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Nawe unajiandikia ujinga-ujinga tu! Wewe leo hii unavyoona kuna nani serikalini mwenye akili? Samia alipokwenda Russia uliambiwa faida ni kuwekeza kwenye Mahoteli. Huyo ni kiongozi au mzaha wa akili? Mahoteli ndo yanamsafirisha rais? Hali ya hewa na ubora wa ardhi Congo ukilinganisha na...
  12. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Serikali ijiondoe kwenye mambo ya kuunda Tume ya Uchunguzi kwani Mtawala aliyopo madarakani anahusika na Vurugu za 2025

    KIbaka akikupa taarifa ya wezi wenzake utaikataa? Au leo hii Kikwete akikupa taarifa ya wizi wa Sam,ia utakataa kwa sababu na yeye aliiba?
  13. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Wale Wanaoshabikia MARIDHIANO Someni maono ya kisomi, Siyo Siasa mbovu

    Kwa maelezo haya unachoweza kusema ni kwamba tuna rais mwenye uwezo mdogo kabisa Afrika Mashariki. Jambo baya kabisa yuko kwenye kundi la madikteta waliowahi tawala nchi ya Afrika. Kwa Afrika Mashariki, tangu tupate UHuru, huyu ni dikteta wa pili kujitokeza baada ya Idd Amin
  14. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkenda Anendesha Sera ya Wizi Kupitia Samia Scholarship Program

    Hali ya Tanzania kwa sasa ufisadi hakuna sababu ya kusema kuna ufisadi, kwa sababu ni kama imeruhusiwa na viongozi wa nchi, lakini ni vibaya sana kwa tunaoona yanyaofanyika kunyamaza bila sababu pia. Waziri Mkenda anaendelea kung'ang'ania sula la Samia scholarship kwa kisingizio cha kuinua...
Back
Top Bottom