Recent content by robinson crusoe

  1. robinson crusoe

    PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

    Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi. Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna...
  2. robinson crusoe

    Mauaji ya Samia na sababu za 'kutapatapa'; Ooh, nchi jirani! Ooh, walilipwa!

    Hapo hapo kwenye maridhiano, hivi akili imo?Hatari ya elimu ya hapa na pale
  3. robinson crusoe

    CCM Sikio la kufa. Wezi wameanza kuunda baraza la mawaziri

    Matukio ya karibuni yanaonyesha mifano dhahiri kwamba viongozi ni watu wa kejeli kama kuwataka wananchi “waende Burundi” badala ya kujisahihisha, na uteuzi wa watu wanaofahamu maovu ya serikali lakini wanapewa nafasi za juu kana kwamba lengo ni kufunika yaliyovunda. Wananchi wameonesha wazi...
  4. robinson crusoe

    PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    Maneno yenu kama Muliro na Chalamila. Vitisho lakini tarehe 9 mutahama nyumbani. Sisi tutaandamana maana waliouwawa ni wale waliobaki nyumbani, ndani ya fensi. Au unadhani kikosi cha mauaji kiliwinda akina nani?
  5. robinson crusoe

    Siyo urafi/uroho wa madaraka, ni wizi wa pesa za umma kwa miradi ya familia

    Kwa lugha lainishi kuna hadithi kwamba viongozi ni warafi wa madaraka ndo maana hawataki kuachia nafasi. Mimi nasema HAPANA! Siyo madaraka, tatizo kubwa ni wizi wa pesa na mali ya umma uliofanywa na unaofanywa na viongozi wa CCM. Mawaziri wamekuwa ni wezi wa mali ya umma, Rais ni mwizi wa mali...
  6. robinson crusoe

    GE2025 CNN inaandaa ripoti ya mauaji yaliyofanywa na Polisi kwenye maandamano. Larry Madowo awataka Watanzania wamtumie ushahidi

    Tutoe taarifa kama anavyoihitaji. Walioko TZ tuwadaharau. Tangu rais wao na wakuu wa mikoa na polisi hakuna aliyekemea janga hili. Yawezekena Polisi hawakuwa na nguvu, lakini kwa nini CDF naye alikuwa kimya bila sababu? Kwa nini wauaji walivaa kiraia na siraha za kijenshi na siyo za polisi?
  7. robinson crusoe

    Tetesi: Kitambulisho cha Uganda Kiliokotwa mitaani. Tunakiomba kwa aliyenacho. TAFADHARI!

    Taarifa zilizosikika ni kwamba mmoja wa 'wauaji' toka Uganda, alidondosha kitambulisho mitaa ya Dar. Naomba kwa yeyote anayeweza kupata kitambulisho hicho, yeye mwenyewe au ndugu, au jilani, tafadhari piga oicha au toa nakara yake kwa matumizi ya ushahidi. nitumie inbox au tuma hapa jamvini wote...
  8. robinson crusoe

    GE2025 Mo Ibrahim akosoa Uchaguzi wa Tanzania: Kwanini uue, kuteka na kufunga Watu kama unapendwa kiasi cha kupata 98% ya kura?

    Mtu mjinga hata akiamua kujinyonga, huchagua tawi la mpapai. Yaani hawezi hata kujinyonga. Tanzania tuna bahati mbaya sana kwa sasa maana ktk eneo hili la EAC ni sisi tu ndo tunaongozwa na mtu ambaye hajawahi kuwa ktk college yoyote! Wale wanaodharau elimu, huu ndo mfano mzuri wa kufundishia...
  9. robinson crusoe

    Rostam Aziz yuko wapi? CCM mlisema ni mtanzania halisi

    CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu. Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha. Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura. Tunachezewa sana! Eti...
  10. robinson crusoe

    Tundu Lissu For Nobel Prize 2026 Tumuunge mkono

    Umejiuliza kwa nini UD waligawa Udaktari wa Heshima kwa mtu asiye na Heshima?
  11. robinson crusoe

    Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Rostam Aziz imekuwa ni jina la kifisadi ambalo ndani yake wamo mafisadi wa kutosha sana! Mafisadi sasa wanajiunga na kutumia jina moja la kufanyia ufisadi. Nchi nzima inaendeshwa na kundi la kifisadi. ndo maana tunaona mtuhumiwa ana ushujaa wa kujieleza na kupewa mwandishi amsaidie kujitetea.
  12. robinson crusoe

    Tanzania tuanze mtindo wa Colombia. Tupambane na wanaolinda serikali ya wezi

    Bei ya drones ni kiasi gani hapo Russia? Hii Afrika tunahitaji kushikishana adabu.
  13. robinson crusoe

    Tanzania tuanze mtindo wa Colombia. Tupambane na wanaolinda serikali ya wezi

    Kwa miaka hii ya drones! Nahisi hata Bunge linaweza lisikae vikao vyake.
  14. robinson crusoe

    GE2025 Bashe amuomba Rais Samia Nzega iwe mkoa. Rais Samia asema atalifanyia kazi

    Bashe aende Somalia bhana! Hawa tunawajua mambo yao! Kwa nini wanaiba pesa za wizara ya Kilimo kwa pamoja, halafu anajidai kuleta ombi la kuundiwa mkoa.
Back
Top Bottom