Recent content by Robert Heriel Mtibeli

  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanawake mjue, watoto sio big deal kwa wanaume wengi. Ukiondoka na nyodo huyo mwanaume anauwezo wa kupata watoto kama hao mia moja huko kwingine

    Sio kila mwanaume atashindwa kulea mtoto. Alafu kulea wala sio kazi kama inavyotangazwa
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Ndio matumizi yake Mkuu. Tumia kwa manufaa yako
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Hakuna aliyenizuia. Lakini haimaanishi nilichoishutumu Chadema sio ukweli
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Mkuu hizo video hazipo mahakamani lakini zimetumiwa kupima credibility ya shahidi. Hiyo miamala haipo mahakamani lakini Katuga kaitumia na Heche kajichanganya kasema anamfahamu huyo jamaa aliyesema hamjui. Kuhusu Kadi za Magari. Katuga kazileta hizo kumshinikiza shahidi aseme ukweli kuhusu...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    CHADEMA pia wapo wanaopewa pesa tena mnawaamini sana.
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Wafuasi na wanachadema ndio Chadema yenyewe. Hao viongozi ni wawakilishi tuu. Sijawahi sikia viongozi wa CHADEMA wakiwaambia Wafuasi na wanachama wao kwamba waache kuwatukana na kuwadhihaki watu wanaotumia haki yao ya kikatiba kutoa mawazo yao.
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Hilo la gari kapigwa. Hilo la Huyo jamaa ambaye amesema hamjui alafu akasema anamjua baada ya kuonekana pesa zimeingizwa kwenye akaunti. Amepigwa. Na baadhi ya taarifa za kiuchaguzi.
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Kwenye Kanuni za Logic Kweli + Uongo = Ni uongo. Kweli + Kweli = Kweli Uongo + uongo = Kweli. Katugwa anachofanya ni kuondoa imani ya mahakama kwa Shahidi
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Wewe sio polisi? Au huna ndugu polisi?
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Leo Heche wamemkamata. Katuga kashamlegeza hapo sijui kama Heche anaujanja tena. Ukishamtoa mtu uaminifu, na kumfichua mafichoni kwa kumvua nguo. Kinachofuata ni kujipigia.
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Ndio. Unaonekana muongo.
Back
Top Bottom