Recent content by Robert Heriel Mtibeli

  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Kwa kweli chakufanya kwa mtu wa kawaida hakuna. Ila serikali ndio inaweza fanya jambo
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Watibeli tunajua Pesa inauma kuliko Mapenzi ndio maana hatumgharamikii Mwanamke

    Hata ungewahi. Mbuzi ni mbuzi kamwe hawezi kuwa Simba
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Watibeli tunajua Pesa inauma kuliko Mapenzi ndio maana hatumgharamikii Mwanamke

    WATIBELI TUNAJUA PESA INAUMA KULIKO MAPENZI NDIO MAANA HATUMGHARAMIKII MWANAMKE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Vijana waliowahi kuwasiliana na mimi kila mara nawaambia kwenye mahusiano, pale wanapojiweka karibu na wanawake. Kitu kikubwa wanachotakiwa kukilinda kuliko kitu chochote ni PESA...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Muumba wake kama sio Allah? Badala huyo Allah na Mtume amuepushe na kifo ambacho Joanah amesema kwa sasa bado hakitaki, anahitaji kuishi. Wewe unasema amkiri. Amkiri kwani anamaajabu gani? Embu peleka ugoro huko
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Pole sana. Tumia mifumo mingine. Dunia haiongozwi tuu na Sayansi
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Sahihi Kabisa. Wanakutafutia sababu ya kukutia hasara hiyo ndio furaha yao
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Hii nchi ni kuchukiana kwa sasa ni Mila na desturi. Hasa ukifanikiwa hakuna atakayekuelewa
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania {Inadaiwa ni mkewe}: Kwanini mtu amchape hivi Mke wake? Hi si sawa na haikubaliki

    Hapo ukute kaulizwa. Kwa ulichokifanya, nikutandike bakora tano au urudi kwenu? Dadeki😄😁😀
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Hoja wanazo lakini
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Joanah ; sisi kama familia ya Jf tunakupa pole za dhati kwa janga linalokusibu.

    Hatari sana Mungu ni mwema. Pole sana Mrembo Joanah
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Good idea
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Experience yangu ambayo sitaki mtu aipite

    😆😆😆😀
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Experience yangu ambayo sitaki mtu aipite

    😄😀😃🙃
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna uwezekano wa kuangalia usajili wa plate number za pikipiki mtandaoni?

    Ila unahitaji hapo ufafanuzi pia
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Experience yangu ambayo sitaki mtu aipite

    Siku hizi ujambazi ulivyopungua. Labda kama anazungumzia Matajiri wanaojihusisha na siasa
Back
Top Bottom