Recent content by Robert Heriel Mtibeli

  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Hivi ndivyo wanasiasa na wafuasi wengi wa wanasiasa mnavyofikiria. Sishangai mkihusisha mitazamo yenu na watu wengine. Wanasiasa karibu wote lengo lenu sio kumsaidia mwananchi bali lengo lenu nikushika Dola.. Kwa sababu kumsaidia mwananchi sio lazima uwe na Dola
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania ANDIKO LA MCHEKESHAJI SHAFII, LIMENIUMIZA SANA, MI KAMA KIJANA,

    Bora amekataliwa na huyo mwanamke mpumbavu. Angemsumbua sana. Mwanaume/mwanamke anayesikiliza wazazi wake kwenye masuala ya ndoa na kuamuliwa huwaga hawanaga akili sawasawa. Wengi ni vichomi.
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums mmeshakubali kutumika na watawala. Mnashindwa kuwatetea watanganyika. Nimeleta dossier ya watu kutolewa viungo. Mmefuta!

    Sahihi. Kama ushahidi upo wa majina na picha, hoja za mtoa Uzi zina mashiko. Kama ni maneno tuu bila ushahidi hata kama tukio linaweza kuwa kweli, JF wapo sahihi
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums mmeshakubali kutumika na watawala. Mnashindwa kuwatetea watanganyika. Nimeleta dossier ya watu kutolewa viungo. Mmefuta!

    Hoja zako zinaeleweka. Swali linakuja, uzi wako ulikuja na ushahidi wa majina ya hiyo miili iliyotolewa viungo?
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Mange yeye anadai yupo kwenye mapambano ya Haki na kutetea nchi yake. Na nikuambie tuu vijana wanamkubali wengi wao
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Mtu ni mawazo yake. Aliwazalo mtu ndivyo alivyo. Ushauri wako baki nao
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Uliwahi kuona watu wanafukuzia Mavi au kumfuata chizi muokota matakataka? Na Siku ukiona hivyo ujue hapo kuna dawa au dhahabu
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Sahihi Kabisa. Na consistency ya Mange Kimambi inampa nafasi ya kuwapeleka maadui zake kilindini kwenye kina kirefu
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Mtibeli anatatizo la kusema ukweli kwa akili sana hali inayopelekea utata kwa wenye uelewa Mdogo
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Vile unavyonipa nawezaje kusahau - karibu tuzogoe!

    Hatari Sana
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Mwanamke ana reacts kulingana na aina ya mwanaume. Ukiwa mpole lazima akuletee tafrani.
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Ukitaka mwanamke kichaa asikutese usionyeshe kujali kuhusu mtoto wake. Mwambie huyo ni kama zawadi, akikaa naye atamtunza mwenyewe. Ukikaa naye unamtunza wewe. Hataki mwambie aende ustawi wa jamii huko mtakutana. Bahati nzuri Kila mmoja anaowajibu wa kumtunza mtoto sio baba tuu.
Back
Top Bottom