Hivi ndivyo wanasiasa na wafuasi wengi wa wanasiasa mnavyofikiria. Sishangai mkihusisha mitazamo yenu na watu wengine.
Wanasiasa karibu wote lengo lenu sio kumsaidia mwananchi bali lengo lenu nikushika Dola..
Kwa sababu kumsaidia mwananchi sio lazima uwe na Dola
Bora amekataliwa na huyo mwanamke mpumbavu. Angemsumbua sana.
Mwanaume/mwanamke anayesikiliza wazazi wake kwenye masuala ya ndoa na kuamuliwa huwaga hawanaga akili sawasawa. Wengi ni vichomi.
Sahihi.
Kama ushahidi upo wa majina na picha, hoja za mtoa Uzi zina mashiko.
Kama ni maneno tuu bila ushahidi hata kama tukio linaweza kuwa kweli, JF wapo sahihi
Ukitaka mwanamke kichaa asikutese usionyeshe kujali kuhusu mtoto wake.
Mwambie huyo ni kama zawadi, akikaa naye atamtunza mwenyewe. Ukikaa naye unamtunza wewe.
Hataki mwambie aende ustawi wa jamii huko mtakutana.
Bahati nzuri Kila mmoja anaowajibu wa kumtunza mtoto sio baba tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.