Mkuu hizo video hazipo mahakamani lakini zimetumiwa kupima credibility ya shahidi.
Hiyo miamala haipo mahakamani lakini Katuga kaitumia na Heche kajichanganya kasema anamfahamu huyo jamaa aliyesema hamjui.
Kuhusu Kadi za Magari.
Katuga kazileta hizo kumshinikiza shahidi aseme ukweli kuhusu...
Wafuasi na wanachadema ndio Chadema yenyewe. Hao viongozi ni wawakilishi tuu.
Sijawahi sikia viongozi wa CHADEMA wakiwaambia Wafuasi na wanachama wao kwamba waache kuwatukana na kuwadhihaki watu wanaotumia haki yao ya kikatiba kutoa mawazo yao.
Hilo la gari kapigwa.
Hilo la Huyo jamaa ambaye amesema hamjui alafu akasema anamjua baada ya kuonekana pesa zimeingizwa kwenye akaunti. Amepigwa.
Na baadhi ya taarifa za kiuchaguzi.
Kwenye Kanuni za Logic
Kweli + Uongo = Ni uongo.
Kweli + Kweli = Kweli
Uongo + uongo = Kweli.
Katugwa anachofanya ni kuondoa imani ya mahakama kwa Shahidi
Leo Heche wamemkamata.
Katuga kashamlegeza hapo sijui kama Heche anaujanja tena.
Ukishamtoa mtu uaminifu, na kumfichua mafichoni kwa kumvua nguo. Kinachofuata ni kujipigia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.