Recent content by Robert Heriel Mtibeli

  1. Robert Heriel Mtibeli

    Siku nikifa kama nilihusika kwenye kuwadhulumu na kuwatesa furahini na wekeni sherehe. Msilete unafiki wa kijinga kwamba marehemu hasemwi

    😂🤓🤓 Ndio hivyo Kila mtu ana kiwango chake cha maumivu na utamu. Kama hujawahi kunyooshwa usifikirie watu wote wapo kama wewe. Na usije wafanyia watu ubaya ukifikiri aah nawafanyia kidogo tuu. Au sijawafanyia Sana. Kidogo yako kwa mwingine ni nyingi. Na nyingi yako kwa mwingine ni kidogo. Kwa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Siku nikifa kama nilihusika kwenye kuwadhulumu na kuwatesa furahini na wekeni sherehe. Msilete unafiki wa kijinga kwamba marehemu hasemwi

    . Sasa utafurahiaje kifo cha mtu ambaye hamjawahi kukutana kwa habari za kuambiwa? Ninachozungumza ni kuwa, Siku umesikia nimekufa au unasikia mtu amekufa, haumjui au unamjua. Ukiona watu wanashangilia uache kiherehehere kuzuia watu wakifanya hivyo. Kwa sababu kwenye maisha ya Marehemu...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Siku nikifa kama nilihusika kwenye kuwadhulumu na kuwatesa furahini na wekeni sherehe. Msilete unafiki wa kijinga kwamba marehemu hasemwi

    Hamjambo Wote! 1. Sijui kama naeleweka. Yaani nikuumize, nikutese, nikuharibie maisha alafu Siku yamenipata ulete ngonjera za ajabuajabu. Sijui UTU. Sijui Imani! 2. Aiseeh! Hakuna cha utu kwa mtu asiye na Utu. 3. Hakuna cha staha sijui stara kwa watu waliokosa stara na stags. 4. Hakuna cha...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Maoni ya jamaa yanachekesha sana. Kwa sisi wengine unaoa bikira. Unatumia. Akizingua miaka 10 unaweka pembeni unachukua bikira nyingine. Hivyohivyo. Mabinti wapo wengi sana miaka 17 chuchu konzi, bikira safi, nyama laini. Alafu uumizwe kijinga kama wajinga. Kikawaida wanaoumizwa na mapenzi...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Hapo bora Bikira. Akikuacha Wala huumii kivile Tena kama umeishi miaka 21 huna ulichopoteza Kuishi na mwanamke asiye bikira ni kipaji sana yaani hakuna tofauti sana na single mothers
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Hizo ni sehemu kubwa ni biashara kwa foreigners. Wewe ukiwa mfanyabiashara ukaenda Dubai labda kukaa mwezi mmoja kibiaashara utafikiria kujenga Dubai?
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Kama hakuna mazingira ya haki na usawa. Hakuna maana ya Maridhiano.
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    CHADEMA imefanya mambo makubwa Sana nchi. Hii ilichobakiza ni kushika dolaa
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Kuleta beki tatu nyumbani ni muhimu, ila hugeuka sometimes na KUWA kuwa chanzo cha migogoro

    Watu hawafanani. Viwango sio sababu pekee ya kunifanya nilale na Mwanamke. Kuna miiko pia
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Wapo vijana hiyo miaka 43 wamejichokea sembuse wanawake? Kama mtu Hana elimu ya afya na kujitunza unategemea asiwe mbibi?
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Miaka 43 kwa mwanamke ni mkubwa. Hasa atoke familia za chini. Hasa awe wale maharage mara moja. Yaani body count inasoma kuanzia wanaume 5. Kama ni mchafu wa kutokuoga. Kama ni tipwatipwa. Alafu miaka 43 anaanzaje kumtaka kijana aliyechini yake? Mpaka hapo huoni kuna tatizo?
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Nchi yetu wanawake wanaojichubua hawafiki hata 10% hizo tafiti ni fake. Wanaenda kuhoji makahaba na wale makahaba kwenye luninga wanahitimisha 50% ya watanzania.
Back
Top Bottom