WATIBELI TUNAJUA PESA INAUMA KULIKO MAPENZI NDIO MAANA HATUMGHARAMIKII MWANAMKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Vijana waliowahi kuwasiliana na mimi kila mara nawaambia kwenye mahusiano, pale wanapojiweka karibu na wanawake. Kitu kikubwa wanachotakiwa kukilinda kuliko kitu chochote ni PESA...
Muumba wake kama sio Allah?
Badala huyo Allah na Mtume amuepushe na kifo ambacho Joanah amesema kwa sasa bado hakitaki, anahitaji kuishi.
Wewe unasema amkiri. Amkiri kwani anamaajabu gani?
Embu peleka ugoro huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.