Recent content by robert dauda mugunda

  1. robert dauda mugunda

    Faiza Ali na vazi LA ufukweni

    Isure hapo ni nini? Kama vazi la kwenye harusi amekosea, ila kama vazi la ufukweni, sijui mlitaka avae nini? Au shela? Hahaha mimi sioni kosa lolote wadau, mavazi ja ufukweni ndivyo yalivyo, sasa isure siju nini.
  2. robert dauda mugunda

    Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

    Ikithibitika kuwa kweli yule mama alipigwa itakuwaje? Mbona watu togauti ndio mnaotoka na kukana hii taharifa? Yule dada amezungumza na anajiamnini, Inatubidi tumpinge kwa fact sio kwa maneno ya kwenye kanga, kama UCCM umeuleta humu shauli yako.
  3. robert dauda mugunda

    TANGAZO: Mkutano mkuu wa wazi wa CHADEMA hapa JamiiForums

    Tatazama na huku mkuu, nimeonyoosha kidole mda mrefuu tu. Naitaji kuuliza swali? Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
  4. robert dauda mugunda

    Nimekuta pakiti tupu ya Condom (karatasi iliyochanwa na kutolewa condom) kwenye begi la mke wangu

    Unategemea utapata majibu gani? Fikiria vyovyote ndio hivyo tena.
  5. robert dauda mugunda

    Lema: Rais akiendelea kufikiri yeye ni Mungu basi Mungu atasitisha maisha yake kabla ya 2020

    Matatizo ni sehemu ya maisha, ila Ugomvi ni upumbavu, tunapenda na tunashangilia ila linapo fika swala la kutokusalimiana na kutafutana inakuwa sio jambo zuri tena, inakuwa ni vita.
  6. robert dauda mugunda

    Tetesi: Mbunge wa Arusha Mjini pamoja na Meya wasakwa na Jeshi la Polisi

    Gambo na Lema mbona wote ni vijana tu, wanatupa picha gani wanapo tuonyesha kutokuaminiana, Yaani wamefika mahara pabaya sana, hata salam itakuwa ngumu sasa. Hayo mambo ayawapendezi na nyinyi bado vijana wadogo sana.
  7. robert dauda mugunda

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    "Ndoa ni makubaliano ya wapumbavu wawili" Katunzi
  8. robert dauda mugunda

    Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

    Hiyo forever living ndio nini? Mimi sielewi japo naisikiaga tu
  9. robert dauda mugunda

    Nampenda lakini naogopa kumwambia!

    Ok nimekuelewa bint! Nitakutafuta
  10. robert dauda mugunda

    Mbatia: Uhakiki wa vyeti feki uanzie kwa Rais na viongozi wengine

    Kunatatizo gani hili jambo la vyeti likaanzia kwa kiongozi mkuu? Yeye ni nani kwenye hilo? Mbona mengine anakuwa wakwanza? Plz hili jambo kwenye mitandao tumesha lizoea sasa, ila ninefurahi kuona mwanasiasa analizungumzia, uwenda tukapata jibu zuri.
  11. robert dauda mugunda

    Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua mwenyewe

    Mwanamke mwenye Hekima na mawazo mazuri lazima utatulia bro, labda mwanaume awe ameshindikana, jifikilie kwa nini wazazi wetu wanatufoce kuoa? Wanaitaji vijana wao tutuli yaani mapenz yanamtuliza mwanadamu, Mimi napenda mwanake mzuri mwenye upeo why nisitulie jamani? Unaishi na mtoto mzuri anaye...
  12. robert dauda mugunda

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Duh inanisikitisha kidogo, nimesoma hii mada ila sijaona sehemu yoyote yenye kutufanya tuchangie, nathani ameifanya kama ushauli wake kwetu au maoni yake kwetu, hicho kinacho itwa tigo sio mchezo, huyo shetani! kama unapewa n'njee na michepuko juwa yakwamba inaingia taratibu kwenye doa yako...
  13. robert dauda mugunda

    Kiufupi, wananchi wote ni CCM tu

    Mawazo yako mazuri tu, ila hakuna upinzani unaoanza ukiwa imala, kwenye vyama kuna sasa zake, pia hata muunganiko wa vyama kuna siasa zake, napenda nikudhibitishie ya kuwa upinzani tulio kuwa nao ni imala, Chadema, Cuf nzanziba, NCCR. Siasa zao zinaendana, kudhoofika kwa upinzani kunasababishwa...
Back
Top Bottom