Recent content by Roben

  1. R

    Hongera sana mbunge wa Iringa mjini Mheshimiwa Peter Msigwa kwa hili.

    We kweli mkata ufuta,ndo maana unaandika ufuta humu
  2. R

    Umoja mpya wa Vijana CCM (UMVCCM) ulioasi UVCCM sasa kutikisa nchi, Kuja na 'CCM Halisi'

    naona hii ni single mpya,nani prodyuza?.eti ccm halisi,na bado,mtawewseka sana mwaka huu,gamba mmeshindwa kulivua hiyo moc mtaiweza?
  3. R

    Simu za kichina.

    jamani mbavu zangu!
  4. R

    Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 2 Jiji la Mwanza

    wazazi wako wana hasara!
  5. R

    Full Text: Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Agosti 2012

    hata kama kasema hivyo,sidhan km alikuwa anamaanisha hatuwezi kupigana na malw,isipokuwa swala hilo halipo ktk mipango ya serikali kwa sasa.yapo mambo ambayo yakitokea kwa hakika lzm uingie vitani kwa hali yyote.nadhani njia ya mazungumzo bado ni njema ktk swala hili la malw.
  6. R

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    taifa ambalo watu wake hawana uthubutu
  7. R

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    kaulimbiu ambazo hazina hata tija kwa taifa
  8. R

    hodi humu ndani

    subiri,subiri kidogo haya ingia karibu sana!
  9. R

    Usibishe,inaburudisha sana.

    inafurahisha sana linapokutokea jambo baya na hakuna anayeweza kukusaidia kwa namna yyote,lakini unapostuka lo!kumbe ulikuwa ndotoni.
  10. R

    Zitto Kabwe kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA endapo....

    Jamani eee!hizi thread za zitto na urais zimetuchosha sasa!hebu jadilini mambo mengine,mwacheni huyo mwenye ndoto za kuwa Amiri jeshi. Aendelee kuziota!.
  11. R

    Zitto na Wabunge, Zitto na CHADEMA, Zitto na Urais...

    Cdm,kuweni makini na huyu zitto huenda huyu akawa'kitanzi' chenu 2015 Mungu akitujalia kufka huko,kuna kipindi nilisikia mlimpigia kura ya kutokuwa na imani naye na kumsimamisha kwa muda kama naibu kub,angalieni sana mjue chama chenu angalau ndo watu wanakiona km mkombozi wa wanyonge.hivyo...
  12. R

    Zitto na Wabunge, Zitto na CHADEMA, Zitto na Urais...

    Ni kweli kbs zitto huwa haonekani hata kwenye mikutano ya chama chake kama wenzake,hapo utasikia yupo kwenye shughuli nyingine za kichama!.kweli zitto 'huyu'siyo yule.
  13. R

    Sherehe kubwa ya Dk Slaa; Nilidhani CHADEMA ni watu wenye utu...

    Duh! Umenichekesha sana mkuu.ni kweli watu wengine wanaweza kukusabbishia ban bure loh!
  14. R

    Unyanyapaa wa Chadema

    Mi sipati picha,jinsi nitakavyomuona jk akikabidhi madaraka ya urais kwa dr slaa.nadhan itakuwa kumbkmb ya kipekee.
Back
Top Bottom