Unyanyapaa wa Chadema

Unyanyapaa wa Chadema

Naona jinsi wanachama na wapenzi wa CDM mnavyochangia ,halafu ndio mpewe nchi ,ni bora CCM ikazuia hapohapo ,bado hamjafikia kuachiwa nchi mkaongoza ,mmechooka kwelikweli ,hamna kitu vichwa vitupu na mawazo mgando ,angalau mmepata cha kuandika.

Haya subirini 2015 ,mushuhudie CCM inavyoibuka kidedea.na ndio mwisho wa CDM.

ulitegemea wachangie point kwe nye post isiyokuwa na maaana kama hii? This thread is total trush,nipe fanta baridi moja.
 
Watu wanasema mtaka cha uvunguni ,sasa kufanya ukaidi si jambo jema ,mnaweza kutumia lugha nzuri na mkafahamika ,wanasema maneno mazuri yanamtoa nyoka pangoni ,unaweza ukamuuliza mtu suali akashindwa kukujibu ,na akakosa pa kukimbilia. Ila ujuba mnaotumia pale mnawarahisishia wengine na wanakuwa wepesi kuwaumbua.
kudadadeki......, mgomba unarangi gani......majani je?......., unajua prof maji marefu wewe ndie unayewadekeza hawa chadema, wewe uliwachanja chale za makalioni, leo wanakudharau,...........,
 
Mi sipati picha,jinsi nitakavyomuona jk akikabidhi madaraka ya urais kwa dr slaa.nadhan itakuwa kumbkmb ya kipekee.
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
acha uzuzu wewe usitusababishie ban hivyo vyombo unavyovitaja avikushuka kutoka mbinguni vimeundwa na hakuna shaka vimeshaoza jukumu kubwa baada ya kuchukua dola ni kufumua uo uozo na kuvifuma upya hatuwezi kukaa na wachafu watatuchafua
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.

TUKUPE Mji?? MAANA HUJASOMEKA
 
Watu wanasema mtaka cha uvunguni ,sasa kufanya ukaidi si jambo jema ,mnaweza kutumia lugha nzuri na mkafahamika ,wanasema maneno mazuri yanamtoa nyoka pangoni ,unaweza ukamuuliza mtu suali akashindwa kukujibu ,na akakosa pa kukimbilia. Ila ujuba mnaotumia pale mnawarahisishia wengine na wanakuwa wepesi kuwaumbua.
nilikurupuka kuchangia ***** wako huu nimegundua your thinking capability is very low kumbe nilikuwa nachangia post ya mpuuzi fulani kwa taarifa yako hii ndio post yangu ya mwisho kwako nahisi unapepopunda
 
Muongozooo muongozoo Mhemishima spika!!!!! muongozooooo, muongozooo mheshimiwa spika, muongoozoooo
Muongoozooo muongozooo Mheshimiwa spika???//////@@#$$ Muongozoooooo, muongozoooooo, nasema muoongozooo
 
Bibi kiroboto akachomoa kimagamba....ati oh.. kanuni inatumika vibaya....., bunge liendelea mpaka serikali sikivu ya CCM itakapokusanya taarifa za kutosha kuhusu ushiriki wa chadema kusababisha ajari! baadae kidogo waziri wa serikali sikivu akaja na hoja ya kuchomoa hoja ili bunge liahirishwe! bi kiroboto akaingia mkenge !

sasa hapo makinda sikama alikula matapishi yake?
Hakukuwa na muongozo juu ya muongozo? Kwa naye kumbuka atujuze!
 
Any way; tumejaribu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele
 
Hivi wewe dada mbona hueleweki bola ungezaliwa mwanaume, shame on you. fikra zote elekeza zanziibar, hivi wewe mbona zero?
 
Nasikia suala liko mahakamani tayari hivo tusilizungumzie
Mkuu mahakamani unaenda kumshitaki nani maana hata wafanyakazi wa meli wamezama na meli yao labda mmiliki wa meli. HII NDO TANZANIA MAISHA BORA KWA KILA MTU.
 
Mara Wassira aliyekuwa usingizini akaamka na kusema mh. Spika . . . . . . . . . !
 
Mara Wassira aliyekuwa usingizini akaamka na kusema mh. Spika . . . . . . . . . !

yan mi mwenyewe nilimshangaa alipo sema ccm sio sikivu ndio maana twiga wametoroshwa!
 
kuna ki2 nyuma ya chadema ni kibayasana watz wengi hawajuwi,, mwenye nafasi anipigie
 
kuna ki2 nyuma ya chadema ni kibayasana watz wengi hawajuwi,, mwenye nafasi anipigie

Nimefurahishwa sana na wachangiaji wa hii post, this is new way for rubish post.........acha niipiganie CDM iingie ikulu ili nikione hicho kitu kibaya
 
safi sana ukome na mada za kitoto kama hii,ama kweli mmemnyoosha!
 
Duh.. Hii style mpya ya kuwapotezea maboya imekakaa bomba sana..! Big up wachangiaji.. Kwa njia hii itasababisha wafikirie mara mbili kabla ya kupost "mautopia" yao..
 
Absolutely magnificient, JF at its entertaining best! I salute you guys!

Nawapongeza sana wachangiaji wa leo, hasa uzi huu, kwa ubunifu mkubwa na wenye mashiko wa namna ya kujbu hoja za reja reja (pia za kipuuzi) za vijana wa Nape.
 
Back
Top Bottom