Recent content by rmashauri

  1. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Who is Christina Shusho historically?

    Wamemchakachua dada wa watu. Mbaya sana.
  2. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Unazuia sherehe za Uhuru, unaadhimisha birthday ya CCM

    Sherehe za CCM hazitumii pesa ya serikali. Wanatumia pesa za chama chao ambazo haziwezi kutumika kwa mambo ya kitaifa. So elewa hilo,
  3. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Dk Sinare aula tena

    Yaani hapo ndo CHADEMA nawaona si wazalendo kabisa. Ni mbwa mwitu waliojivika ngozi ya kondoo.
  4. rmashauri

    JamiiForums Tanzania WanaCCM Vunjo wasusa kuendelea na kampeni

    Gamba ni Lowassa na ninyi washabiki wake. Au ulikuwa hujuwi hili?
  5. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli akimnadi na kumpa ilani Mbunge wa Vunjo - Innocent Shirima

    Kabisa mkuu. Lowassa tangu akiwa CCM alikuwa anaungwa mkono na Rostam, Chenge, Karamagi etc. Hawa jamaa CCM wako vivuli ila miili yao iko na Lowasa na hata kura watampigia Lowassa. Mbele ya Magufuli hawana meno na biashara zao haramu lazima zidode tu. Wanapambana ili Lowassa achukue nchi...
  6. rmashauri

    JamiiForums Tanzania WanaCCM Vunjo wasusa kuendelea na kampeni

    Mtashangaa kuona Magufuli akimgalagaza vibaya ENL
  7. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Natoa msisitizo, UKAWA yapoteza ngome yake muhimu Arusha

    Wamebadilisha? Nilisikia Magufuli anamalizia jijini Mwanza kisha anaenda Chato kupiga kura
  8. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli akimnadi na kumpa ilani Mbunge wa Vunjo - Innocent Shirima

    Majambazi walishahamia UKAWA aiseee!
  9. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Magufuli anaweza asiwe Rais wa nchi hii

    Team Lowasa bado mna hangover ya kukatwa fisadi wenu, lol.
  10. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Wananchi kanda ya ziwa waanza kurudisha kadi za CHADEMA!

    Kwa wabunge sawa ila kwa rais wasahau. Magufuli ni jembe
  11. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Lukuvi na Magufuli umeanza lini?

    Amwache kwenye hiyo wizara ya ardhi, nyumba na makazi, anaiweza sana.
  12. rmashauri

    JamiiForums Tanzania GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Kiuhalisia huyu ndo anafaa kuwa rais wa Tanzania kwa sasa. Nchi itanyoka.
  13. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Auditor General hoi

    Katika ofisi ambazo zinakusanya pesa nyingi kutoka kwa wateja wake hii ni mojawapo. KUna taasisi ndogo tu ya serikali ninayoijua na wakienda kukagua mahesabua ambayo huwachukua takribani wiki 3 na idadi yao huwa watu kama 4 huwalipisha milioni 20 na zaidi. Sasa huko kwingine kwenye maofisi...
  14. rmashauri

    JamiiForums Tanzania Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    What? Lowasa? GOD forbid.
Back
Top Bottom