ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
vunjo ccm ina wagombea wawili.mmoja anaitwa mrema na mwingine shirima.wanavunjo chagueni mabadiliko achaneni na ccm...
Mtashangaa kuona Magufuli akimgalagaza vibaya ENL
Na ndio maana urais kwa lowassa haukwepeki..kwa mustakabali wa Tanzania yetu ni lazima ENL awe mkuu wa nchi!!!Tukiwambia mpeperusha bendera ya CCM; John Joseph Pombe Magufuli sio meneja bali ni nyapara tu; mnakasirika na kupiga kelele kama mabata yaliyoko kwenye "heat"!!
Jamani ili Magufuli afanye jambo lifanikiwe bila kusababisha hasara na usumbufu kwa taifa na jamii kwa ujumla; shurti awe "supervised"; ni lazima awepo mtu mwingine wa kumuongoza! vinginevyo ni lazima atachafua hali ya hewa kama sote tulivyoshuhuidia kwenye mizunguko yake ya kampeni; No wonder kuna baadhi ya wajumbe wa timu yake ya Kampeni za "Matusi" wamejikata kiaina; kimya kimya!!
Mshahara wa dhambi ya kuteuliwa "kimagumashi" ndio huo; Magufuli hatoshi; bado saana!! poleni sana watani wetu magambaz! Peeeepoz!!
thread hii toka imeanza ni wewe gamba peke yako uliojitokeza...mnatia huruma sana...