Recent content by rkili

  1. R

    Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

    hi kweli haitakuwa na impact kwenye chaguzi zijazo kweli, na wanamahenge watalichukuliaje ? Nawadhani leo usingizi utatoweka kule kwa wale marehemu, maana mategemeo ya walio wengi hayakutimia, na kila mtu anahisi kulikuwa kuna njama ya wale waliokuwa watuhumiwa kuachiwa, si vyema kumuhukumu mtu...
  2. R

    Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

    Kwa jinsi ninavyomjua yule mvimba macho hakiyanani waandishi kaeni chonjo hasa wale waliomuhukumu kabla, hana masihara eti yule!!!, acha hiyo fidia lkn mkono wake pia atautumia kisawasawa, yaani ni kama kumuona osama ameingia ofisini kwako
  3. R

    Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

    Sasa wale waliokuwa wanamvimbia macho itakuwaje ? na je atarudi kazini kweli ? akirudi si ndio ataua sana, hii kazi kama habari ndio hizi bac wataua sana maana wanajua mwisho wa siku wapo nje na kulipa kisasi kama kawa
  4. R

    Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

    hii nji imeshauzwa wenye nazo na wenye madaraka ndio walio juu ya sheria
  5. R

    Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

    je anaweza kukamatwa tena ? na kushitakiwa upya ?
  6. R

    Kesi ya kina Mramba: Serikali itashindwa!

    tunashukuru ntie wenye taaluma ya sheria kuliona hilo, ila ni bora kuelezea wasiwasi wako ktk hili nasi mbumbumbu wa sheria tukaliona, hakika hata wengine waweza changia lakini hawalioni tatizo kama nilivyo mm pizzaman
  7. R

    Kesi ya kina Mramba: Serikali itashindwa!

    tunashukuru ntie wenye taaluma ya sheria kuliona hilo, ila ni bora kuelezea wasiwasi wako ktk hili nasi mbumbumbu wa sheria tukaliona, hakika hata wengine waweza changia lakini hawalioni tatizo kama nilivyo mm
Back
Top Bottom