Recent content by RJ85

  1. RJ85

    mwalim kufanya kazi tanga

    Kama una post na unataka kuamia tanga,popote ulipo wasialiana nami,wai sasa: 0713242842
  2. RJ85

    Napata maumivu makali....!

    Acha umalaya subili ndoa,ilo ni tatizo la mucus insufficiency.ule ute utokao ukeni baada ya kupandwa na hamu, nenda hosp au upate thelapy tretment
  3. RJ85

    Dhana ya umri kuwa tatizo katika ndoa ni potofu

    Sema mzinifu mwenzangu,ujoa alafu mkeo,we unafikili mke ni minywele inaota kila mahali ahhhhha pumbavuuuuuuu
  4. RJ85

    Namtafuta Upendo Mbogo

    Popote ulipo nichek facebook rahim chanzy
  5. RJ85

    Natafuta

    We kuna jambo unalitaka wee,kule kwetu tunaliita ,"ugambile lukuni"
  6. RJ85

    Wakristo bucha hii hapa

    Siku zote mlikua wapi?, mnakula nyama aliochinja nani?,maandiko ya kuwakataza yameshuka lini?,kuchinja mlianza lini?,kunyonga mtacha lini?........kasome utajua asiri ya kuchinja ilianzia wapi.dini gani hiyo inaendeshwa na personal feeling
  7. RJ85

    Wakristo bucha hii hapa

    TULIVYOAMLISHWA 0…2 SS WAISLAM NA ALLAH. *************** 0…2************** ( 3 )al maidah- Mmeharimishiwa nyamafu, na damu,na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na...
  8. RJ85

    Picha yangu ya leo hii

    Huko wenzenu hawana ata pipi nyie mnapelemende c mtumie,
  9. RJ85

    Khaa!wachina inatosha sasa!

    Wanatutukana tu hawana lolote
  10. RJ85

    Ni Mwaka 2016. Unatakiwa kuweka hii picha ya Rais kwenye ofisi yako

    Uncle tutumie picha ya shangazi c atumjui,yukoje!!
  11. RJ85

    Ni Mwaka 2016. Unatakiwa kuweka hii picha ya Rais kwenye ofisi yako

    Kitu kama nduliii dii,uongozi wake unafaa uwe kama wa musorin
  12. RJ85

    Nisaidien hili wanashelia

    Upo right, mlaleo
  13. RJ85

    Nisaidien hili wanashelia

    Kijana mmoja aitwae jimmy,alikuwa anaitaji kujifunza sheria kwa mwanasheri akiwa hana pesa ya kughalamia malipo ya ada, akaomba ajifunze kwa mkataba kwamba atalipa hiyo pesa iwapo akimaliza na kushinda kesi yake kwanza, alipo maliza kusoma jimmy hakujiusisha na sheria,kwa hiyo uwezekano wa...
  14. RJ85

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unachezea the blues ww,the first london uefa champion club,wengine kila siku mnaangalia match tuuuu,akuna ata siku amkafuraiya kikombe,c uame kwani kabila hiloooo
Back
Top Bottom