MSHUMBUSI. Wewe ni Muongo usie na kifani, unaonekana hata kwa Mungu wako utasema uongo, njoo nikupeleke kwa Bi Awena na familia yake wapo, km hutomkuta nyumbani kwake unikate kichwa. Kazi yenu kusema uongo kwenye mitandao tu km huna la kusema nyamaze kimya. Kwani ukinyamaza kimya itakuwaje?
Hiyo sehemu ni Bububu Polisi, kwenye njia Panda inayokwenda KIJICHI SPICE. Pemba hakuna Sehemu kunaitwa BUBUBU wala KIJICHI. na Dadadala zinaenda KIJICHI zimepewa namba 511 na hapo ktk hiyo Daladala kwenye picha ya Kwanza utaona kumeandikwa SPICE 511 yumkini hiyo ni daladala ya huko, na hayo...
Hiyo sio Pemba jamani wacheni kutudanganya, hiyo ni Unguja na inaonekana hizo Picha sio za Jana wala leo. Ukiangalia kuna Daladala ya KIJICHI-SPICE (511). Mleta mada tuambie ukweli, hali ya Pemba haiko ivo.
Majina ya Eddy sio Wajinga km wewe, nadhani hili jina umepewa wakati wa kutahiriwa. Kwani Maalim ameomba kulipiwa Hoteli? Si Hashuo la Magufuli mwenyewe. Mm naona Maalim akae hapo mpaka achoke mwenyewe.
Ilikuwa wa Kubaki Milele ni Mtume Muhammad S.a.w tu lkn Allah amemchukua itakuwa CCM? inaonekana hata dini hana huyo, Hajui hata Uwezo wa Mola wake Mlezi ukoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.