..huu ni mtego ambao CUF hawatakuwa na njia ya kuutegua.
..sasa hivi wanalalamika kuhusu matokeo ya majimbo ya uwakilishi ambayo walishapewa shahada za ushindi.
..ZEC-CCM watawarudishia majimbo yote waliyoshinda. Ila Uraisi atapewa Dr.Shein.
..kwa hiyo zile kesi ambazo wawakilishi walikuwa wanafikiria kufungua zitakuwa hazina maana tena kwani ZEC-CCM itawatangaza washindi.
..Hali hiyo itamtenga Maalim Seif na wawakilishi ambao watatangazwa washindi.
..CUF watakuwa hawana sababu ya kususia baraza la wawakilishi, na zaidi kuingia ktk serikali ya mseto.
..Jecha amelenga kwenye kutoa ushindi kwa wakilishi wa cuf. Wakati huohuo kumpa ushindi wa Raisi Dr.Shein.
..CCM wana MABAVU/MAJESHI na zaidi wana MAARIFA.
..sasa hivi wanalalamika kuhusu matokeo ya majimbo ya uwakilishi ambayo walishapewa shahada za ushindi.
..ZEC-CCM watawarudishia majimbo yote waliyoshinda. Ila Uraisi atapewa Dr.Shein.
..kwa hiyo zile kesi ambazo wawakilishi walikuwa wanafikiria kufungua zitakuwa hazina maana tena kwani ZEC-CCM itawatangaza washindi.
..Hali hiyo itamtenga Maalim Seif na wawakilishi ambao watatangazwa washindi.
..CUF watakuwa hawana sababu ya kususia baraza la wawakilishi, na zaidi kuingia ktk serikali ya mseto.
..Jecha amelenga kwenye kutoa ushindi kwa wakilishi wa cuf. Wakati huohuo kumpa ushindi wa Raisi Dr.Shein.
..CCM wana MABAVU/MAJESHI na zaidi wana MAARIFA.