Majanga mengine ni mapigo ya maonyo ila ndiyo wanakuwa wagumu kuelewa. Kuna mambo yakifanywa na nchi yanakuwa chukizo mbele za Mungu na huleta mapigo. Mf penis festival waliofanya unadhan Mungu anaichukuliaje? Bado wana masanamu ya ajabu ajabu kama taifa. Tutarajie mapigo kwa nchi nyingi maana...
Ushuru upo ila inategemea na sheria zetu. Mfano nchi nyingine wameweka utaratibu kuwa purchase yoyote ikizidi let's say dola 50 utalipa 25% ya original price ya hiyo bidhaa. Tatizo kwetu mambo hayako transparent na inakuwa kama tunawindana vile. Mara ukimkuta huyu anasema lipa ukimkuta yule...
Sijui kimekukasirisha nini hivyo rafiki! Perhaps I'm born that way as you have figured me out. But the good thing is there some men out there dying to get this kind of person your talking about! We have diverse interests, likes and wishes! Don't try to influence people to see things through your...
You will wait until dawn! Hata Sarai aliposubiri possibly kuna waliompa comments kama zako. Ila Muda wa Mungu ulipofika Isaka alizaliwa. Jifunze kuwaombea wengine mema ili nawe uweze kuvuna mema!Sikukuu njema!
You have said it all! Malezi yetu yako very formal hatuna muda wakuwasoma watoto wetu wala kuchunguza what they want to be. Matokeo yake tunawalea wawe kama tunavyotaka sisi na siyo kuwasaidia wawe who they want to be!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.