Risenshine
Member
- Nov 16, 2015
- 26
- 13
Ushuru upo ila inategemea na sheria zetu. Mfano nchi nyingine wameweka utaratibu kuwa purchase yoyote ikizidi let's say dola 50 utalipa 25% ya original price ya hiyo bidhaa. Tatizo kwetu mambo hayako transparent na inakuwa kama tunawindana vile. Mara ukimkuta huyu anasema lipa ukimkuta yule anasema usilipe. Nadhani ni muda muafaka tuhoji kila utaratibu kujulikana wazi. Waweke posters nk ili kupunguza doubts na inconveniences!Electronic devices ninamaanisha kitu kama simu ya mkononi, nimeuliza kwasababu kuna mtu wa dhl aliniambia ukituma kitu mfano laptop kupitia dhl kuna ushuru utatozwa. Pamoja na yeye kuniambia hivyo nilimuona hana uhakika na anachoniambia. Lakini wewe nimekuelewa vizuri. Asante sana.