Recent content by Rion Jr

  1. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Bandari (TPA) inawatangazia watanzania wenye sifa nafasi za kazi zipatazo 71

    Hizoo scale mbona watu hawazitoi
  2. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli alikuja kutufia dhabi zetu kwanini hakujisalimisha mwenyewe mpaka kumlipa Yuda ili amtambulishe

    Kwa mungu hakuna shortcut ndo maana hata wakina yusuph waliuzwa utumwani kwanza ndo wafike walipo pangiwa
  3. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Mambo manne ya muhimu unayotakiwa kua nayo wakati wa kusajili kampuni

    Kampuni ilisajiliwa brela mwaka 2016 lkn ukisearch ukingia kwenye website ya brela ukisearch haionekani . Msaada mwenye kujua
  4. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Tazameni uongo wa Mathematics

    Hiyoo 8 ni kuku na hiyo 0 ni nini Ok tu asumme labda pesa au basi kuku o pesa iwe 8
  5. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kutokwa na manii bila kudhamiria itakuwa nini?

    Huo ni Ute ute ni kawaida
  6. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

    Kweli kabsa wajamaa wameitendea haki ile nyimbo
  7. Rion Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Sasa ok na wewe umefanya hustle gan ambazo sio chai
  8. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

    Usimuamin mtu ambaye umeachana naye zaid ya miaka miwil au mitatu
  9. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Niliamini yoyote anaweza kutapeliwa baada ya kunasa kwenye mtego wa tapeli huyu

    Umetapeliwa kizembe ningumu mtu kukupa deal kama hilo wakat hamfamian
  10. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO USAID ijiandae kisaikolojia chini ya Rais Trump

    Wee nouma sana
  11. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

    😂😂😂 mimi walikuja nikawakataa
  12. Rion Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Sometime stress lakn pia hata wadarasa saba bado inawachua pia
  13. Rion Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Wewe jamaa Mary alikuachia laàna
  14. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

    Nasubili mwendelezo
  15. Rion Jr

    JamiiForums Tanzania Simu zinazodaiwa ni Used kutokea Dubai na Korea ni nzima au tunapigwa?

    Mm simu zangu za samsung na nunua used from Korea simu imara kuanzia kwny body mapka software na ndo natumia
Back
Top Bottom