Recent content by rimoi

  1. R

    Baadhi ya Wazanzibari Wapinga Muungano wadai kura ya maoni kuhusu Muungano

    hakuna lolote hilo ni kundi la vijana wa jusa! hata jusa alitakiwa kukamatwa
  2. R

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    mie naona tusianze kumsema kuwa alikuwa kwa EL au wapi ila tunasema karibu na aanze kutetea chama! najua ana wafuasi wengi arusha na kwingineko awalete kwenye chama cha wazalendo na vijana wanaotaka kuikomboa nchi kwenye mikono ya ukoloni mambo leo
  3. R

    Kwanini muungano usiongelewe kwenye maoni ya katiba?

    Mie kama nilimvyomuelewa Raisi ni kwamba watu watapewa kujadili kuboresha muungano na si kuvunja muungano! mie nakubaliana naye kwani kuna wahuni ambao wanakuja na kauli za kibaguzi kama kina jusa! watu hawa hawafai na raisi anajua ndio maana kaweka hicho kikwazo! jadili namna ya kurekebisha na...
  4. R

    Taifa la washabikia uzinzi - Tanzania

    mkuuu nakuunga mkono! kanumba alikuwa kwenye uzinzi na hakuna anayezungumzia hilo! tumsifu kwenye kazi zake ila ukweli utabaki pale pale
  5. R

    Jimbo Lingine la Chadema Hili hapa endapo wakiamua kulibeba kirahisi

    kuna jimbo ambalo wananchi wake huwa wanapima nani mkweli na nani ni muongo kisha wanampa kura, sio jingine bali ni jimbo la moshi vijijini! kwa jinsi navyoelewa watu wa moshi vijijini chadema wakiweka nguvu kidogo sana wanachukua lile jimbo kama kumsukuma mlevi vile! changamoto yangu ni...
  6. R

    Clouds na Matusi ya Lusinde inamaanisha Nini?

    Clouds tusiwaseme wanawafikishia ujumbe watanzania kuwa ni aina gani ya viongozi ambao tumewapa dhamana! Wahuni na washenzi! Clouds hawana makosa! Wanasikilizwa karibu nchi nzima hivyo wametumia nafasi yao kufikisha ujumbe! Mia nina wasiwasi na aliyekuwa akiukana kama ni mzima au la! Note...
  7. R

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    kila mtaaa unaopita madogo wote wanakupa ishara
  8. R

    Namhusudu sana MBOWE!!

    wewe ndugu yangu una kauli ambazo zinkuonyesha uchi wako! raisi wa africa kusini J. Zuma kasoma wapi? acha fitina na majungu! ongelea mambo mengine?
  9. R

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    watu 127,455 walioandikishwa katika daftari la kudumu la wapigakura, wanatarajiwa kupiga kura katika vituo 327 ambavyo vimepangwa kwa ajili ya uchaguzi huo tusubiri tuone hivyo ni vituo ambavyo vinafikika kwa urahisi bado vile vituo ambavyo ccm huwa inachukulia point
  10. R

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Vijibweni final results-CCM 1198; CHADEMA 799; CUF 776
  11. R

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    watu 127,455 walioandikishwa katika daftari la kudumu la wapigakura, wanatarajiwa kupiga kura katika vituo 327 ambavyo vimepangwa kwa ajili ya uchaguzi huo tusubiri tuone hivyo ni vituo ambavyo vinafikika kwa urahisi bado vile vituo ambavyo ccm huwa inachukulia point
  12. R

    Kwa Jina la CCM: Mbunge wa Mtera Lusinde aporomosha matusi Arumeru kumwombea kura Siyoi

    Chadema wamevuliwa nguo! Click the link below Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
  13. R

    JK akutana na kamati ya madaktari

Back
Top Bottom