Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Ah.. Nimeisikiliza Na kuiangalia You tube.. Hakika jambo hili lazima liwekwe mezani baada ya Uchaguzi kupita.. Si vijembe vya Kampeni Bali ni zaidi ya Hapo.. Lusinde alikerwa Na Hoja kwamba Mgombea wa Chama chake aliitwa shoga Kwa kutoga maskio.. Of which Sioi ni mwanaume Na mashoga ni wanaume pia, sasa kutumia neno Mimba Kama ni Nuksani Na Kiroja Jukwaani ni kudhalilisha utu Wa mwanamke.. Kwamba Ccm imewatia mimba viongozi Wa CDM, kana kwamba Mtu aliyepachikwa mimba ni Nuksani Na Gundu flan ni kudhalilisha sana utu wa Mwanamke.. Kwanini wasingegombana wanaume wao Kwa wao Na wanawake wao Kwa wao.. Nadhani TAMWA, WAMA Na CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE , lazima jambo Hili liwasilishwe kunakotakiwa.. Mimba ni Udhu, Kudra, Na heri ya mwanamke Na Mtu yeyote hawezi kutumia jukwaa la Uwazi kudhalilisha Jinsia tofauti Na yake mbele ya jamii, si CCM, CHADEMA, CUF Wala Mtu yeyote mwenye mamlaka ya kudhalilisha utu Wa mwingine. .. Maneno Haya yana maana kwamba viongozi wale aliowashutumu Lusinde wote ni Wanawake tu.. So mwanamke ni takataka Flani Isiyo Na maana Wala thamani ndani ya jamii, mwanamke ni Kama katuni .. No no
No malizeni Kampeni zenu ila Kwa hili halivumiliki.. Tutaendeshana mahakamani no mater hata ikicost 50 years..
No malizeni Kampeni zenu ila Kwa hili halivumiliki.. Tutaendeshana mahakamani no mater hata ikicost 50 years..