Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Pamoja na mambo yote yanayosemwa kuhusu Mbowe yeye atabakia ndiyo alama ya CHADEMA.
Tangu Mwaka 1992 CHADEMA ilipoanzishwa na Mtei na Mwenzake Bob Makani, chama hicho kimepata sura hii ilichonacho ya kuwa na nguvu ya UMMA kwenye uongozi wa Mbowe. Mbowe ndiye aliyeanzisha uvaaji Kombati ambayo sasa ni vazi Rasmi la vijana wa Kitanzania.
Kwenye uongozi wake rangi ya Bendera ya chama na falsafa ya imeuhishwa upya na chama kimepata taswira hii kilichonacho kwa jamii. Ingawa si "msomi" kama wapinzani wake wanavyomuona lakini yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA imo ndani yake.
Tangu Mwaka 1992 CHADEMA ilipoanzishwa na Mtei na Mwenzake Bob Makani, chama hicho kimepata sura hii ilichonacho ya kuwa na nguvu ya UMMA kwenye uongozi wa Mbowe. Mbowe ndiye aliyeanzisha uvaaji Kombati ambayo sasa ni vazi Rasmi la vijana wa Kitanzania.
Kwenye uongozi wake rangi ya Bendera ya chama na falsafa ya imeuhishwa upya na chama kimepata taswira hii kilichonacho kwa jamii. Ingawa si "msomi" kama wapinzani wake wanavyomuona lakini yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA imo ndani yake.