Wapo wengi na Mimi ni shahidi namba 1 kama wewe sio miongoni mwao ni sawa wala hakuna shida hata kidogo
Hata mtaani wanaume wengi wanaishi na watu design yako ni preference
Yah na namuombea Kwa mungu azidi kufanikiwa siku akiyumba ndo atajua rangi halisi za mtu anayekaa Naye ndani
Yani unakopa Kwa ajili ya mtu unaingia madeni Ili biashara ya mtu isimame inaingiza mara 2 kuliko kipato chako hata kutoa msaada kuboost madeni ambayo unajua yalikopwa Kwa ajili yako...
Mumeo ana hasara
Mwanamke asiyekuhurumia hafai hata kidogo kukaa naye
Na uzuri red flag hua zipo mwanzoni ila tunachagua kuvumilia matokeo yake ndoa inabaki ni jela ambayo huwezi kutoka
Hotuba ya jana ilikua ni kama inataka kufikisha ujumbe kuhusiana na hali halisi ya kinachoendelea pale unyamani
Kwa anayefahamu Kwa mujibu wa katiba ya simba muundo wa kimamlaka uko vipi upande wa mwekezaji na wanachama je budget ikitangazwa ni kila upande unachangia au upande wa mwekezaji tu...
Umeona Yani Kuna watu wana akili ndogo mno wanasahau hata elimu yetu yenyewe ilivyo mtu mwenye ufaulu huo anaweza akaanza hapo certificate akaenda diploma mpaka degree akawa sawa na yule mtu ambaye alienda advance akiwa na 1 au 2
Kubishana na mpumbavu ni kupoteza muda
Mkuu Kuna kipindi kila mtu anahitaji second chance kwenye haya maisha hata wewe Kuna moment uliwahi kosea ukapewa nafasi ya pili
Acha kujipa umungu mtu na kujudge mtu bila kujua alikua katika mazingira yapi maisha ni safari ndefu hujayamaliza hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.