Recent content by Rico redi

  1. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi (SALES)

    Sales ya products au service???
  2. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Wapo wengi tu mtaani na wanakua hawajawa exposed Dunia na wako very innocent
  3. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Wapo wengi na Mimi ni shahidi namba 1 kama wewe sio miongoni mwao ni sawa wala hakuna shida hata kidogo Hata mtaani wanaume wengi wanaishi na watu design yako ni preference
  4. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Yah na namuombea Kwa mungu azidi kufanikiwa siku akiyumba ndo atajua rangi halisi za mtu anayekaa Naye ndani Yani unakopa Kwa ajili ya mtu unaingia madeni Ili biashara ya mtu isimame inaingiza mara 2 kuliko kipato chako hata kutoa msaada kuboost madeni ambayo unajua yalikopwa Kwa ajili yako...
  5. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Mumeo ana hasara Mwanamke asiyekuhurumia hafai hata kidogo kukaa naye Na uzuri red flag hua zipo mwanzoni ila tunachagua kuvumilia matokeo yake ndoa inabaki ni jela ambayo huwezi kutoka
  6. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Hotuba ya jana ilikua ni kama inataka kufikisha ujumbe kuhusiana na hali halisi ya kinachoendelea pale unyamani Kwa anayefahamu Kwa mujibu wa katiba ya simba muundo wa kimamlaka uko vipi upande wa mwekezaji na wanachama je budget ikitangazwa ni kila upande unachangia au upande wa mwekezaji tu...
  7. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Pole sana mkuu saivi si umeanza walau kupata mwanga kwenye hustling zako
  8. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Umeona Yani Kuna watu wana akili ndogo mno wanasahau hata elimu yetu yenyewe ilivyo mtu mwenye ufaulu huo anaweza akaanza hapo certificate akaenda diploma mpaka degree akawa sawa na yule mtu ambaye alienda advance akiwa na 1 au 2 Kubishana na mpumbavu ni kupoteza muda
  9. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Sawa mkuu changamoto connection na watu waliopo kazini ndo sijapata ila nitapambania
  10. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani nimepata pakuanzia mkuu
  11. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani Hawa wao wanafanya kazi sehemu zipi mkuu
  12. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani mkuu inaitwaje na ada zake zikoje na je Kwa unavyoono mtu baada ya kumaliza soko lao lipoje
  13. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Mkuu Kuna kipindi kila mtu anahitaji second chance kwenye haya maisha hata wewe Kuna moment uliwahi kosea ukapewa nafasi ya pili Acha kujipa umungu mtu na kujudge mtu bila kujua alikua katika mazingira yapi maisha ni safari ndefu hujayamaliza hata kidogo
  14. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Kiswahili C English. D Biology. C Geography D History. D Civics. D Maths. F
Back
Top Bottom