Recent content by Rico redi

  1. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Umeona Yani Kuna watu wana akili ndogo mno wanasahau hata elimu yetu yenyewe ilivyo mtu mwenye ufaulu huo anaweza akaanza hapo certificate akaenda diploma mpaka degree akawa sawa na yule mtu ambaye alienda advance akiwa na 1 au 2 Kubishana na mpumbavu ni kupoteza muda
  2. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Sawa mkuu changamoto connection na watu waliopo kazini ndo sijapata ila nitapambania
  3. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani nimepata pakuanzia mkuu
  4. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani Hawa wao wanafanya kazi sehemu zipi mkuu
  5. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Shukrani mkuu inaitwaje na ada zake zikoje na je Kwa unavyoono mtu baada ya kumaliza soko lao lipoje
  6. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Mkuu Kuna kipindi kila mtu anahitaji second chance kwenye haya maisha hata wewe Kuna moment uliwahi kosea ukapewa nafasi ya pili Acha kujipa umungu mtu na kujudge mtu bila kujua alikua katika mazingira yapi maisha ni safari ndefu hujayamaliza hata kidogo
  7. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Kiswahili C English. D Biology. C Geography D History. D Civics. D Maths. F
  8. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    Habari wakuu Unaweza kumshauri mtu achukue short course gani kati ya hizi ambaye kaishia kidato cha 4 na hakua na background nzuri kwenye mathematics japo ana kichwa chepesi upande wa computer Multimedia technology and animation Cyber security Au short course za madini Japo yeye kavutiwa zaidi...
  9. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Ayobami junior: HIFADHI hili jina kichwani

    Huyu anafaa kucheza no 10 anakosa vipi timu premier
  10. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Okwi vs Chama: Nani anastahili kuwa mchezaji bora wa muda wote wa Simba SC?

    Chama chama chama aisee kwangu Mimi chama atabaki kuwa mchezaji Bora zaidi wa kigeni niliyewahi kumuona akiichezea simba Namba 10 aina ya chama ndo wanaishia hivyo no 10 ambaye lengo kubwa ni simplification ya mchezo na si kufunga hana tamaa anaibeba timu kwenye mazingira, magumu utulivu wa...
  11. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Ya pixel 6 pia mkuu msaada
  12. Rico redi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Kusema kweli hua kila nikisoma kisa chako we na huyo mwanamke hua napata hasira ni namna gani ulivyo mpumbavu Anyway maisha ni yako mwenyewe
  13. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    GOAT
Back
Top Bottom