Umeona Yani Kuna watu wana akili ndogo mno wanasahau hata elimu yetu yenyewe ilivyo mtu mwenye ufaulu huo anaweza akaanza hapo certificate akaenda diploma mpaka degree akawa sawa na yule mtu ambaye alienda advance akiwa na 1 au 2
Kubishana na mpumbavu ni kupoteza muda
Mkuu Kuna kipindi kila mtu anahitaji second chance kwenye haya maisha hata wewe Kuna moment uliwahi kosea ukapewa nafasi ya pili
Acha kujipa umungu mtu na kujudge mtu bila kujua alikua katika mazingira yapi maisha ni safari ndefu hujayamaliza hata kidogo
Habari wakuu
Unaweza kumshauri mtu achukue short course gani kati ya hizi ambaye kaishia kidato cha 4 na hakua na background nzuri kwenye mathematics japo ana kichwa chepesi upande wa computer
Multimedia technology and animation
Cyber security
Au short course za madini
Japo yeye kavutiwa zaidi...
Chama chama chama aisee kwangu Mimi chama atabaki kuwa mchezaji Bora zaidi wa kigeni niliyewahi kumuona akiichezea simba
Namba 10 aina ya chama ndo wanaishia hivyo no 10 ambaye lengo kubwa ni simplification ya mchezo na si kufunga hana tamaa anaibeba timu kwenye mazingira, magumu utulivu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.