Recent content by ricky eliud

  1. R

    Majabu yanayofanywa na chuo kikuu cha ST. Joseph Ruvuma Songea

    kwa hiyo tukusaidieje, sua hukuiona wakati unachagua hiyo st. joseph?
  2. R

    Nitaondoaje virus anayeitwa skypee ?

    hata kwenye androids yupo, cdhan kma ana madhara
  3. R

    Tofauti kati ya Huawei y530 za TIGO na ambazo sio za TIGO

    alafu iv hzo sim zinaflashika kweli ili kuweza kutumia lain zote?
  4. R

    maumivu ya tumbo kwa chini ya kitovu

    nilikuwa nauliza hivi mwanamke au binti akiwa anaumwa tumbo la chini ya kitovu hivi anaweza akawa na tatizo gani au ni tatizo gan huweza kupelekea hyo hali p'se naomba ushauri
  5. R

    appendix

    nilikuw naomba ushauri eti kutafuna mchele kunaweza kunisababishia mim kupata apendix au kifuko cha appendix kujaa? please naomba ushaur coz nimedevelop hii habit ya kutafuna mchele na nashindwa kujizuia
  6. R

    Mwigulu afuta Malipo ya Wajumbe Waliotoroka Bungeni, azuia Mabenki yasiwalipe!

    300,000 k2 gan asante ukawa kwa kutufumbua macho achaneni na hao walafi ccm
  7. R

    St.joseph wahindi wapigana wao kwa wao

    shenzi zao kabisa na huyo mbongo aliyetusaliti ni wa kuuaaaa!!!!!!!
  8. R

    st joseph university of agriculture, songea

    niko mza nimechaguliwa st joseph university of agriculture, chuo kiko songea, BACHELOR OF TECHNOLOGY IN AGRICULTURE - vp facult iko fresh au nifanye mipango ya kubadili, tafadhali elders naomben ushauri wenu!! p'se
  9. R

    Nimetokea kumpenda huyu kaka

    we toa ushauri, kama huna kausha
  10. R

    tatizo kwenye kulog in tcu

    vocha zinapatikana kwenye tawi lolote la NBC bank TSHS 50,000/=
  11. R

    tatizo kwenye kulog in tcu

    tangu jumapili nahangaika lakini bado, wengine wananishauri ninunue vocha mpya
  12. R

    tatizo kwenye kulog in tcu

    ndugu wana jamii mimi mwenzenu nimepata tatizo, nimeshajirejista tcu ila kulog in inafeli, hata vyuo sijachagua, tafadhali naombeni msaada wenu nifanye nini! muda unaniishia. please nisaidieni
  13. R

    p'se help me!!

    jaman mimi nina ugonjwa unanisumbua yaan sundo sundo zinaota masikioni kwa nje na huu ugonjwa sijawahi kuupata ndo umenipata, mi sipendi hii hali tafadhali naomba niambien tiba yake nianze mara moja, help me p'se!
  14. R

    form six results

    jaman mi na Phy F Chem E Math E G/s F, je! Naweza kupata chuo? yan inawezekana nikaenda chuo kusotea degree? au ndo imekula kwangu? naomba msaada wenu wanajamii
Back
Top Bottom