Iyo inaitwa "Maskini akipata Matako hulia mbwata" Mtu akishajiona inferior au aki internalize ivyo anaona akipata aoneshe kila mtu; magari kumi hata km barabara zote za vumbi, iphone 3 mpya kila mwaka, ipod, ipad hata kama hajui tofauti zake na Macbook hata kama hapendi Macos, km ule mwimbo wa...
Naona unawashwa; kuna sehemu nimesema nampangia cha kusema? Sipendi watu ambao hawana mstari uliosimama. Leo upo hapa kesho umerudi kule, mchana upo pale? Huo ndio uchawa. Kama angekuwa anamsapotti Samia angemsapoti since day 1 na angesupport pia mauaji yake
Mkana Jinsia Dayon Monsoon aliyehojiwa na Mange Kimambi Canada na kujipatia umaarufu na akiwa mstari mbele kudai haki na kumpinga Samia na CCM. Now ghafla anamtetea Samia na kuwa chawa kama kina Kigogo, Mwandambo, Suphian Juma na wengine. Fatma Karume aingia mitini, sasa amebaki Maria Sarungi na...
Je Mange Kimambi katuingiza mjini? Aliapa hakutokuwa na uraisi wa Samia ila almost mwaka sasa; hao wanajeshi alisema watasimama na sisi ila wakaruhusu tuuliwe kama mbwa
Alisema akina Tesha cjui na wanajeshi wengine wapo kw mafunzo kutuokoa. Na sioni matunda yoyote yeye kujipendekeza kwa Trump...
Asili ya neno punyeto
Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri.
Asili yake
Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese)
Neno la asili ni punheta, ambalo pia linamaanisha masturbation kwa Kireno.
Jinsi lilivyoingia Kiswahilini
Wareno walifika na kutawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.