Asili ya neno punyeto
Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri.
Asili yake
Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese)
Neno la asili ni punheta, ambalo pia linamaanisha masturbation kwa Kireno.
Jinsi lilivyoingia Kiswahilini
Wareno walifika na kutawala...
Kwani umewahi kuniona uchi??? Una uhakika gani ilo ni jina langu halisi??? Tanzanians are so stupid. Humu Jamii Forums wote wenye majina unadhani ndo majina yao halisi??? Msijali content mnajali alieandika kaandikaje🥲🥲🥲 Hawa ndo wa kuprotest tar 29?? Kaz ipo. Either way Sijali
Upumbavu wa Watanzania bwana? Kuna hata kusimulia kikike au kiume??? Wewe kama huna cha kuchangia either kaa kimya au kajambe kule mbele ya baba yako kisha muombe mama yako akutawaze; hapo je ni kikiume au kikike???
Kuna nyumba moja ya kupanga bwana; kuna hao wakaka wawili wenye umri takribani 25 mpaka 30; ni mapacha wa kufanana kabisa yaani(Identical Twins) na wanafanana kila kitu.
Sasa hao wakaka wameanza kuwatatiza watu wakiwemo wapangaji wenzao hadi mwenye nyumba; kwani wana tabia ya kufanya kila...
Ipi Bora wakuu?
Kumpenda mtu ambaye hajakupenda na ukaumia kwa kutoweza kuwa naye au Kumpenda mtu naye akakupenda mkawa kwenye mahusiano na yakaja kuisha na mahusiano yakavunjika na ukaumia. Ipi bora?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.