Katika kile tunachokiita kusapoti vijana wenye vipaji, Theclick101 imekuandalia utaratibu maarumu ambao wasanii wachanga watapata muda wa kukutana na producer anayefanya vizuri kwa sasa na nyimbo ya TOO MUCH, MUZIKI, KOMELA, MR NAY, CHAFU POZI, LIGI NDOGO na nyingine nyingi. Anaitwa Mr T- Touch...