Recent content by Rickshaw

  1. R

    Mwigulu ashutumiwa kwa kuleta mkanganyiko Arumeru - Apendekeza Jina la 1 hadi 4 yakatwe

    Tunashukuru sana kama imefikia hatua uykaona umuhimu wa kujiunga na JF. Katika kampeni za Igunga ulituhumiwa na kujihusisha na kutumia nafasi yako kama meneja wa kampeni kutembea na wake za watu hususana wananchama wenzako wa CCM, je tuhuma zinz ukweli wowote?
  2. R

    M-pesa, tigo Pesa, airtel Money na Maangamizo ya Uchumi wa Tanzania

    Wewe umesahau simplicity na urahisi wa huduma hizi kwa wananchi amabo kuaccess huduma za kibenki ni ndoto. Hebu fikiria jinis ilivyokuwa rahihi kuwatumia fedha wazazi vijijini, watoto shuleni, wafanyakazi mashambani n.k all this contributes positively kweny uchumi wa nchi
  3. R

    DAWASCO imekiuka mikataba; hatua za haraka zinahitajika kuboresha upatikanaji wa maji DSM

    Nashukuru sana kwa majibu mazuri yaliyoshaheni nadharia bila real situation on the ground. Unafahamu kabisa kuwa lipo tatizo kubwa la wananchi kutokufahamu majukumu hasa ya mbunge hususan jukumu ya la "kuisimamia na kuishauri serikali" kama ambavyo unatakakuonyesha kuwa ni bingwa. Lakini...
  4. R

    DAWASCO imekiuka mikataba; hatua za haraka zinahitajika kuboresha upatikanaji wa maji DSM

    Nashukuru sana kwa majibu mazuri yaliyoshaheni nadharia bila real situation on the ground. Unafahamu kabisa kuwa lipo tatizo kubwa la wananchi kutokufahamu majukumu hasa ya mbunge hususan jukumu ya la "kuisimamia na kuishauri serikali" kama ambavyo unatakakuonyesha kuwa ni bingwa. Lakini...
  5. R

    DAWASCO imekiuka mikataba; hatua za haraka zinahitajika kuboresha upatikanaji wa maji DSM

    Nushukuru sana kwa kuwa inaelekea ulinielewa vyema katika uzi wangu "Mnyika Mkonge unakuhus nini, kachape kazi jimboni? japo moderators hawakunitendea haki kwa kuufuta.
  6. R

    Dr Slaa na mchumba wake watakiwa kufika mahakamani

    Wewe unatakam limchafue mara ngapi? Bila Kashfa hii nakuhakikishia hata CCM wangeiba vipi wasingeweza kupiku kura zake/ Likini imagne watu wa ngazu za chini ambao ndio wengi burudani pekee waliyonayoo ni katika ndoa zao asa anatokea mtu wa CCM anadai mgombea huyu kapor mke wa mtu, unafikiri...
  7. R

    Dr Mwakyembe hapaswi kuhurumiwa, amevuna alichokipanda

    Baada ya kusoma ripoti what next?
  8. R

    DK. Bilali Chaguo la JK Kumrithi 2015?

    Tazama Daily News ya leo Dr Bilali Front page, Jk Page three.
Back
Top Bottom