Recent content by Rick16

  1. Rick16

    Nmeacha kazi bila kumshirikisha mwajiri, Je naweza Kupata NSSF yangu?

    What if nkaajiriwa sehem nyngne ....wakaniingizia nssf kama miez minne HV then wakanifire...ntaweza pata au lazima mwajiri wng wa kwnza nae ausike
  2. Rick16

    Nmeacha kazi bila kumshirikisha mwajiri, Je naweza Kupata NSSF yangu?

    Habari wakuu. Niliajiriwa kwenye sekta binafsi Kwa takriban miaka Saba. Sasa nmepata fursa ya kujiajiri hivyo ilinibidi niache kazi bila taarifa Kwa maana SEHEMU nliyoajiriwa ni ngumu Sana kuacha kazi. Imepita miezi minne Sasa na wameshanitoa kwenye payroll Yao Je nnaweza nikapata nssf yangu...
  3. Rick16

    Kama binadamu kuzaa kwa uchungu ni adhabu vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wanaozaa kwa uchungu?

    Sasa mzee baba..Mungu s anatusisitiza kusamehe sasa Mbona kashindwa kuwasamehe viumbe vyake
  4. Rick16

    Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

    Im in Nasubir utaratibu
  5. Rick16

    Nahitaji kiwanja Dar es Salaam/pembezoni mwa mji kwa ofa ya Tsh 5m

    Karibu vikindu 2m unapata kiwanja...... DM me for more info
  6. Rick16

    Julius Malema anataka ukahaba uhalalishwe

    Zaman nlikua nadhan makahaba n watu wabaya...kumbe wala sio😀 n watu wanatafuta ridhiki na wanahitaj sana support yetu
  7. Rick16

    Land Rover Festive Arusha 2024

    Wakianza IST FESTIVAL nishtuen
  8. Rick16

    Football records that are yet to be broken

    Hii ya giroud sio kwel
  9. Rick16

    Nguvu za Mungu kwa Daudi kumshinda Goliati kwa jiwe la kombeo

    Hiki kitu nlitoka kumwmbia mtu Jana..... Pia kuna movie inaitwa David...inaelezea historia ya daudi. Haikuwa miujiza Bali n hesabu za daudi Tu zilikubali....Kwa maana hawakupigana ila daudi ndiye alimpiga Goliath Kwa jiwe tena kwenye kombeo......hatuwez kukataa fact Kua daudi alikua shujaa...
  10. Rick16

    Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

    Any assistance karb sana
  11. Rick16

    Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

    Casino industry ni industry ambayo watu weng wa outside wanaichukulia negative Sana...lkn iko tofaut sana na watu wanavyoichukulia. Mimi nnfnya kaz casino mwaka WA Saba huu na mafanikio yng n makubwa compare to other industries. Wife pia yupo humu na sio mm Tu mwnye mke humu. Watu wanafnya...
  12. Rick16

    Tatizo la Flats TV kufa taa

    Black stone smart TV 45 inches Taa zimefifia mnabadilisha Kwa sh ngapi
  13. Rick16

    Cartoon ya The Simpsons na utabiri wa 2024

    Kutakua na nn may 1
Back
Top Bottom