Mtafaruku uliotokea jana pale Moshi.. Vunjo, wakati wananchi wakimpiga mtendaji alipotangaza matokeo visivyo....
Jamani wananchi, hebu tujadiliane hili... kwa nini kiongozi mwenye dhamana ya serikali atangaze matokeo visivyo wakati ni msimamizi wa wananchi.... Hii si haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.