Sasa mkuu kama uchumi utaporomoka? Nini madhara ya uwekezaji kwenye dhamana serikali za muda mrefu mfano bond ya miaka 20?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr Slaa hakika naona umbali umeanza kuchukua nafasi yake (distance taking its toll).
Pamoja na falsafa uliyotumia bado unaonekana uko mbali na uhalisia, makusudi au kwasababu za kutokuwepo kwa muda mrefu. Blaming the victims? Hukusikia kauli kali kutoka juu kuwa hataki kujaribiwa? We miss the...
Sawa kuna changamoto na hasa katika sekta ya umma. Kuna machapisho mengi tu kwenye hili suala. lakini kwenye hili la NSSF, hakuna hoja ya mgongano wa maslahi kwa bodi kutoa maamuzi baada ya uchunguzi huru. Uteuzi wa katibu wa bodi iliyopita ushatenguliwa, waliokuwa kwenye uchunguzi ni senior...
Uhuru wa mawazo sio uhuru wa kupotosha. Haya mambo yapo kisheria. Kasome vizuri wajibu wa bodi ya wakurugenzi. Nakutakia siku njema
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.