Nafikiri tusibweteke, kuna haja ya kuuchambua huu mfumo anaouelezea hapa na madhara yake katika upatikanaji wa habari huru za bunge.....hasa kwenye kulionyesha live....ila nguvu ya umma ni muhimu. May be wananchi tukipiga kelele pia kuhusu kufutwa kwa POAC wanaweza wakairudisha
Ndugu yangu Mjengwa, naona umejitahidi sana kutokuwa mnazi katika maoni yako. Ila mimi sikubaliani kabisa na wewe. Unamtetea Makinda kama mwanamke au kama Kiongozi? Mbona suala la Ndugai halichukuliwi kama ni tatizo, na kuna watu wanasema Ndugai alikuwa anajibu msg zao. Kwanini unataka kuwafanya...
Hatuhitaji misaada ya namna hii! Kazi yake ni kuisimamia serikali kutoa huduma na sio yeye kutoa huduma.
Misaada kama hii inatumbumbaza sana. Sipendi. Kwani hawezi kutoa huduma mpaka awe mbunge? Hakuna kitu cha bure, tunadanganywa na vimisaada vidogo wao wanapiga hela kubwa uchumi unazidi kudidimia
But can you relate with the rate of suicide? am sure in Norway, suicide is higher than Tanzania, and am asking myself, why should i commit suicide if am happy:becky::majani7:
Asubuh hii kwenye chanel ten, Nape amehojiwa akitakiwa kuthibitisha madai yake juu ya chadema kuchangiwa fedha namataifa ya nje. Katika maeleo yake amegoma kutaja watu wanaoichangia Chadema na kiasi cha pesa. Ila amesema kuwa alikuwa anawatahadharisha kuwa hela hela hio sio nzuri kwa maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.