Kwa kuunga mkono post yako, je prof anajua kuwa tusheni bado iko ktk shule zake (serikali) na watoto wanalipishwa 500! Cjui kama walimu husika wanatoa risiti. Kama hajui anipigie simu kwny na 0657 655 659.
Acheni kuongea kisiasa nje ya ukumbi wa bunge khs Mh. Lissu. Mnavunja katiba yangu. Ningependa kwa wakati huu tuongelee tiba ya mh. Lissu. Wahenga walisema "kiatu cha baniani dawa". Kwa heri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.