Bosi kanipa link, nimeifungua kwenye Browser, anasema...niedir hiyo PDF from that link, halafu automatically Website itaupdtae. Ina maana hii document inaweza kuwa ipo kwenye Server...ndio maana nikasema hakuna kinachomisi? kwamba either alipaswa anipe access ya kwenye server/ cPanel nk? msaada...
Bosi kanipa link, nimeifungua kwenye Browser, anasema...niedir hiyo PDF from that link, halafu automatically Website itaupdtae. Ina maana hii document inaweza kuwa ipo kwenye Server...ndio maana nikasema hakuna kinachomisi? kwamba either alipaswa anipe access ya kwenye server/ cPanel nk? msaada...
Wana teknolojia mlioko hapa,
Naomba msaada wa dharura. Bosi kanipa link ambayo ni Website version ya PDF, anasema uki-update kule Website pia ita update. Sasa naanzia wapi, je hakupaswa kunipa vitu k.v. Login detailss, au cPanel nk? Link ni ya HTML kwa ajili ya kuupdate hiyo Website.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.