Kama kuna muendelezo wa hii series that means mapapa wanaogopwa ndio maana wanatafuta chekecho ili chujio limalize. Kama ni vyanzo vya habari na maneno yakutajwa basi kenya wamerahisisha. Wachukue list iliyotajwa na blog ya kenya kwa hao mapapa wanne. Wapi papaa makala? Nimekumbuka miaka ya 2000...
Hajataka kusema chochote yeye kuhusishwa na hiyo biashara? Nchini Kenya kati ya watu waliotajwa kupiga biashara hiyo kwa ujazo mkubwa ni Mwigulu, riz, balozi Nchimbi na mmoja ameniponyoka
Hawex kuitwa na rc ataitwa na Simon. Masogange anaweza kuitwa na konda na skaenda hakuna madhara. Mbowe ni sawa na katelefon kwenye siasa sio MTU mdogo ndio maana Gari anayotumia either itakua STK ama kub.
Wadau wenzangu,
Leo nimeshangaa sana kutomwona PM kwenye kiti wakati anajua Jana bunge lilikua na maswali na hoja ngumu ambazo leo pengine alitakiwa kutolea ufafanuzi. Spika naye hajatoa ufafanuzi PM yupo wapi. Je ni sahihi?
Kwakua Mh Lema amefikishwa mahakamani kwa ushahidi na Makonda nae afikishwe mahakamani. Gumbo alitumia ushahidi wa simu kumfikisha Mh Lema mahakamani na mpaka sasa hajapewa dhamana. Mh Halima anasema wabunge kadhaa wametishiwa kwakupigiwa simu na makonda. Watumie voice note hizo kama ushahidi...
Naona atakavyopiga magoti akitokwa chozi. Kama aliweza kumtandika na kiti babu yake na akajificha kwa mlemavu hii atamwendendea baba jeaca ampigie kifua kwa betina
Wadau naombeni mnipe walau mawazo yenu kwenye hili. Tembo wanaouwawa na meno mengi uamepatikana nchini china yakitokea hapa kwetu tz. Kipi haswa kina faida kwa wananchi wengi dhidi ya hawa wanaoitwa wauzaji wa dawa za kukevya na hawa wanaoua tembo na kuuza pembe.
Mange anakua mbaya akitoa habari zakuiumiza fisiem lakini akitoa za cdm mishiopa huwa inawasimama utadhan wanywaji wa chang'aa. Mange wape zaidi maana hata nyuzi za makongo, Dubai na USA wengine hatukua tunazijua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.