richaminja
Member
- Dec 31, 2016
- 90
- 41
Wananchi wanashindwa kujiorganise wamkatae? Weka mgomo wa kufanya nae kazi atatia akili.Dc mnyeti Alexander mbona unafanya mambo ya kitoto,huna namna nyingine ya kudeal na waandish? Umerudia tena kukamata waandish? Waandish arusha mkomae nae huyu n mhun namna bora ya kudeal nae n kihun pia,waalimu wenzake igokelo sekondari walimtia adabu alichezea kichapo Akawa mpole,mkilegea atawasotesha mbaya,