Ambo madogo yanayohitaji busara ya mazungumzo mezani kuliko kwenda kujaza case mahakamani fanya hivi ,kaeni muelewane mnamalizana vipi na pia hakikisha makubaliano mnayaweka katika maandishi ,ili akienda kinyume na hapo ndipo uende huko mahakamani japo kama hauko vizuri kifedha mahakamani...
Wew unawakatisha Tamaa wanao soma uzi huu na hawana hata hiyo mia 700 yako per month ifike mahali uamini ktka mapambano na kamwe usiige njia apitayo mwenzako
Hili kama langu tu nna binti ananielewa na anaforce nimuoe an kanibana na ana mama ila hana baba lakin pia mm nasom chuo na sina mpango wa kuoa kaja gheto naishi nae ila wao wanajuh mtoto wao yuko mjini kikazi hàpa nasubl nione nini ni nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.