Mimi nawaomba, mitandao ya simu kama wanavyofanya kwa wakala mkuu wa VODA na AIRTEL ukituma kwa wakala aliye mbali na wewe palepele wanakuonesha makato kwa utakayo katwa kwa wakala aliembali nawewe,wafanye kwetu tukitaka kutuma kwa mteja wa mbali
Habar ndugu zangu....
Kunachangamoto na hatari kwa sisi ma wakala wakati wakutuma pesa Airtel kwenda kwa wakala mkuu, hawaonyesh jina mpaka pesa iende ndio jina linakuja, kwa utaratibu huu mliounzisha Airtel n hatari sana kwa sisi mawakala kupoteza pesa.
Habar wandugu.....
Pemben na ofisi yangu imeanzishwa biashara ya kuchoma nyama na chips, naomben njia ya kukwepana na kero ya mosh kutoka kwenye majiko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.