Hii inakuhusu Waziri wa mambo ya ndani, Mkuu wa mkoa Manyara, RPC mkoani Manyara.
Kuna baadhi ya Police kama Muhsin, Said na Salum wana tabia ya kupiga makofi na mabuti.
Kuna mwingine anafikia hatua mpaka kuwapiga shot ya umeme watuhumiwa wanaofikiswa kituoni, sasa natoa angalizo siku akija...
Mimi nawaomba, mitandao ya simu kama wanavyofanya kwa wakala mkuu wa VODA na AIRTEL ukituma kwa wakala aliye mbali na wewe palepele wanakuonesha makato kwa utakayo katwa kwa wakala aliembali nawewe,wafanye kwetu tukitaka kutuma kwa mteja wa mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.