Recent content by rich1

  1. rich1

    KERO Kampuni za Simu zinatukata Mawalaka 20% kwa kutuma fedha nje ya Mkoa, huu si ni wizi huu?

    Mimi nawaomba, mitandao ya simu kama wanavyofanya kwa wakala mkuu wa VODA na AIRTEL ukituma kwa wakala aliye mbali na wewe palepele wanakuonesha makato kwa utakayo katwa kwa wakala aliembali nawewe,wafanye kwetu tukitaka kutuma kwa mteja wa mbali
  2. rich1

    Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

    Mbona sijawah,kusikia katazo kwenda CCM
  3. rich1

    Kero kwa Airtel money pind unapotuma pesa wakala kwenda kwa wakala mkuu.

    Habar ndugu zangu.... Kunachangamoto na hatari kwa sisi ma wakala wakati wakutuma pesa Airtel kwenda kwa wakala mkuu, hawaonyesh jina mpaka pesa iende ndio jina linakuja, kwa utaratibu huu mliounzisha Airtel n hatari sana kwa sisi mawakala kupoteza pesa.
  4. rich1

    Kero ya Moshi kwenye ofisi yangu kutoka kwenye jiko la chips na mishikaki.

    Habar wandugu..... Pemben na ofisi yangu imeanzishwa biashara ya kuchoma nyama na chips, naomben njia ya kukwepana na kero ya mosh kutoka kwenye majiko.
Back
Top Bottom