Recent content by rich1

  1. rich1

    JamiiForums Tanzania KERO Kupanda kwa Nauli Njia ya MBEZI-MSUMI, MBEZI-MPIJI MAGOE, MBEZI-MSAKUZI

    Serikal ipo bize na chadema
  2. rich1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Embu wakuu tieni neno hapa

    Asante.... ndugu nilijimix kwenye Mali ya afande.
  3. rich1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Embu wakuu tieni neno hapa

    Nikikumbuka n shawah lala ndan kwa ajil ya wake za watu Sina ham.
  4. rich1

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Natafuta lain hizo za bando,nazipataje???
  5. rich1

    JamiiForums Tanzania Kwenye nyakati hizi, uongo hautaiweka huru CCM ya Samia itateseka sana

    Kuna mtu aliwah niambia internet ingekuwepo Toka miaka ya tisini ,CCM isingekupewepo.
  6. rich1

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya Polisi kituo cha Kibaya (Kiteto) mkoani Manyara wananyanyasa watuhumiwa na mahabusu

    Hii inakuhusu Waziri wa mambo ya ndani, Mkuu wa mkoa Manyara, RPC mkoani Manyara. Kuna baadhi ya Police kama Muhsin, Said na Salum wana tabia ya kupiga makofi na mabuti. Kuna mwingine anafikia hatua mpaka kuwapiga shot ya umeme watuhumiwa wanaofikiswa kituoni, sasa natoa angalizo siku akija...
  7. rich1

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hii siku rafiki zetu walipoteza maisha kama kuku PUMZIKENI KWA AMANI

    Bongo atuwez pata watu wanaojilipua na mabomu Kama boko haramu.😂
  8. rich1

    JamiiForums Tanzania Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Nasikia chadema wameingizwa kwenye mfumo.
  9. rich1

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wote waliokuwa wanataka kuvuruga Amani ya Taifa letu wamepoteza muelekeo na kusambaratika

    We utakuwa umepata mgao wa mabilion ya makonda🫤
  10. rich1

    JamiiForums Tanzania Hivi matamko ya Samia yatatolewa ufafanuzi mpaka lini?

    😂😂😂😂😂😂
  11. rich1

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyefariki, arudishiwa uhai baada ya kuombewa!

    Daktar alithibitisha kama mtoto amekufa??????
  12. rich1

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni za Simu zinatukata Mawalaka 20% kwa kutuma fedha nje ya Mkoa, huu si ni wizi huu?

    Mimi nawaomba, mitandao ya simu kama wanavyofanya kwa wakala mkuu wa VODA na AIRTEL ukituma kwa wakala aliye mbali na wewe palepele wanakuonesha makato kwa utakayo katwa kwa wakala aliembali nawewe,wafanye kwetu tukitaka kutuma kwa mteja wa mbali
  13. rich1

    JamiiForums Tanzania Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

    Mbona sijawah,kusikia katazo kwenda CCM
Back
Top Bottom