Recent content by Rich the boy

  1. Rich the boy

    Nipeni ushauri kutokana na uzoefu wenu katika ujenzi

    KUjenga ni timing tu kama unaweza anza kidogo dogo usisubiri upate mamilion vingnevyo hutaweza kujenga anza na msingi kwanza tulia then ukipata ela unaendelea
  2. Rich the boy

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Ebhanaa eeeh...hii issue ipo very sensitive elezea vizuri watu waelewe chanzo na kwann mmekatazwa...ila Mimi nachojua mmekatazwa kuuzia maeneo ambayo siyo rasmi..mkuu was soko anataka watu wauzie zone husika but changamoto kubwa ni kuwa wafanyabiashara ni wengi ila maeneo yaliyokuwepo pale...
  3. Rich the boy

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Wazee wa chezea sanaaa ,..nyonyaa sanaa,pigaa sana Kama nawaona mwamba alivyotoa boko kwa mrembo
  4. Rich the boy

    Sivutiwi na wanaonyoa kipara sehemu za Siri

    Wee umeenda kugegeda au kuchunguza jinsi watu walivyonyoa
  5. Rich the boy

    Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki

    Wakaz yupo sahihi ila Roma alicholenga yeye ni kufikisha ujumbe...wasanii wengi wanaoimba nyimbo za kukosoa huwa wanazngatia zaidi kufikisha ujumbe masuala ya chorus na mengne huwa ni ya ziada tuu
  6. Rich the boy

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Ila nyie wenye baba mnapata sana faida kuliko sisi ambao hata hatukuwahi kuishi na baba zetu...kuna hayo maneno ya huyo mzee wako kiukwel yana maana kubwa sana
  7. Rich the boy

    Ajira za TAMISEMI

    Walimu bhana hahahah
  8. Rich the boy

    Ushawahi kucheat na dem wa mshkaji wako then ukadakwa

    Tupe kwanza exprience yako ilikuwa...
  9. Rich the boy

    Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

    Wanaume tumeumbwa mateso....hawa viumbe sijui huwa hata wanataka nn
  10. Rich the boy

    Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Kashaeleza namna alivyokuwa na hao jamaa wawili mbavu waliokuwa wanamsaidia kudai endapo mtu angezingua
  11. Rich the boy

    Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

    Nyie mliokula hela za ada alikuwa na uhakika hata kama issue itabuma mzazi wako atalipia tena mi alikuwa kabsa kula hata sh Mia kwa sababu familia yangu nilikuwa najua tabu wanazopitia adi nilipe
  12. Rich the boy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaha huo ni udhalilishaji..kwa mwanamke anayejitambua hawezi kufanya ujinga huo
Back
Top Bottom