Recent content by rich jimson

  1. R

    Msaada: Mtoto kupoteza uwezo wa kuongea

    Inaweza kuwa Autism au ni Speech delay, Huwa nafanya therapy kwa watoto wenye changamoto kama hizo ila muhimu ni kufanya Diagnosis kujua Nini shida. Unaweza kwenda Muhimbili kwa Dr. Kija
  2. R

    Wazee wa kuopoa mkishalewa halafu asubuhi mnajutia, hebu tueleze ulijutia nini?

    Sasa hivi ndo kazidi, amekula mpaka ada ya mwanae
  3. R

    Wazee wa kuopoa mkishalewa halafu asubuhi mnajutia, hebu tueleze ulijutia nini?

    Ninachojutia mpaka sas sijawahi kunywa pombe, hii ni baada ya kumwokota mjomba kwenye mfereji wa Buguruni.
  4. R

    msaada

    bado zipo mkuu
  5. R

    UDSM 3rd round

    M pia ilikuwa hvyohvyo ila nkaingia kweny home page halaf nkalog in ikakubali kufunguka
  6. R

    UDSM 3rd round

    Wamesharekebisha kwangu ipo sawaa
  7. R

    Msaada kuhusu NIT second selection....

    Samahani ndugu mi pia nliomba hapo NIT ila kwenye akaunti yangu hakuna taarifa yoyote mpaka sasa ila naomba screen shot then ntumie nione ipo vipi
  8. R

    kuhusu confirmation code awamu ya pili

    Sasa itakuaje na kuna vyuo havijatoa majina kama NIT? M ndo nasubir majibu huko
  9. R

    kuhusu confirmation code awamu ya pili

    Daaah m mwenyew bado nazisubir na mpaka sasa naona kimya sijajua TCU wanalengo lipi
Back
Top Bottom