Recent content by riara

  1. R

    Wanasheria hili linawahusu

    Ni kweli mke ni mtu muhimu ila hawa wanawake wa kikazi hiki cha sasa wamepoteza uaminifu lazima tuishi nao kwa akili ikiwa ni pamoja na kuchukua tahadhari. kinga ni bora kuliko tiba
  2. R

    Wanasheria hili linawahusu

    Nina assets ambazo nimepata nikiwa sijaoa (single) kama ifuatavyo Nyumba , mashamba , Mifugo pamoja na duka la pembejeo Ninachoitaji (a) Namna ya kumiliki assets hizi kisheria ili nitakapooa mwanamke wangu asiwe na haki katika assets hizi mpaka nitakapoamua mwenyewe aidha kumilikisha familia...
  3. R

    Wanawake stress nyingine tunazitafuta

    sky nakuelewa sana mdogo wangu!! wanawake wote wangekuwa na fikra yakinifu kama wewe death rate kwa wanaume ingepungua.
  4. R

    Huyu ndiye Rafiki ambaye nimemwona anafaa kwangu

    Tafuta kazi ufanye vinginevyo utaangaika sana!!
  5. R

    Mzazi kuaanza kukutegemea wewe kwa kila kitu bila kujali mshahara wako mdogo

    mzazi anapaswa kumpa mtoto wake mahitji yote muhimu ikiwa ni pamoja na elimu pia mzazi anapaswa kuweka akiba kwa ajili ya uzeeni. Suala la kumhudumia mzazi kwa Kila kitu baada ya kijana kupata kazi ni chanzo cha UMASKINI wa kudumu kwa kijana. Baada ya kijana kupata kazi kijana anatakiwa...
  6. R

    Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

    Zungumza nae Kile unataka sometime ni ushamba unamsumbua
  7. R

    Ushauri: Nadhulumiwa na mjomba bila sababu?

    Mjomba wako yuko sahihi hapo sio kwenu wala huna haki yoyote hapo cha kufanya katafute haki kwenu kwa baba yako. kama ulizaliwa nyumbani kwao mama yako huna jinsi mlaumu mama yako Kisha upambane na hali yako.
  8. R

    Je, tunawatendea haki dada zetu hawa ambao ni single mothers?

    Kuoa single mother ni uzembe! na kuwa single mom ni laana!!
  9. R

    Mchumba wangu kanambia amesomeshwa na wazazi mapato yake atayaelekeza kwao, mimi nihudumie familia...

    Juzi kati nilikuwa na Dada moja kwa lengo la kupanga utaratibu wa marriage and total packages wakati wa mazungumzo akatoa hoja kwamba alisomeshwa na wazazi wake hivyo mapato yake ataelekeza kwao mimi nijiandae kuhudumia familia. Baada ya kusema hivo nikamuuliza maswali yafuatayo 1...
  10. R

    Sina rafiki ninayeweza kumwambia siri yangu yoyote

    Write your reply...Carry on
  11. R

    Print more money!

    Governor was supposed to obey the president's order not otherwise
Back
Top Bottom