Ni kweli mke ni mtu muhimu ila hawa wanawake wa kikazi hiki cha sasa wamepoteza uaminifu lazima tuishi nao kwa akili ikiwa ni pamoja na kuchukua tahadhari. kinga ni bora kuliko tiba
Nina assets ambazo nimepata nikiwa sijaoa (single) kama ifuatavyo
Nyumba , mashamba , Mifugo pamoja na duka la pembejeo
Ninachoitaji
(a) Namna ya kumiliki assets hizi kisheria ili nitakapooa mwanamke wangu asiwe na haki katika assets hizi mpaka nitakapoamua mwenyewe aidha kumilikisha familia...
mzazi anapaswa kumpa mtoto wake mahitji yote muhimu ikiwa ni pamoja na elimu pia mzazi anapaswa kuweka akiba kwa ajili ya uzeeni.
Suala la kumhudumia mzazi kwa Kila kitu baada ya kijana kupata kazi ni chanzo cha UMASKINI wa kudumu kwa kijana.
Baada ya kijana kupata kazi kijana anatakiwa...
Mjomba wako yuko sahihi hapo sio kwenu wala huna haki yoyote hapo cha kufanya katafute haki kwenu kwa baba yako. kama ulizaliwa nyumbani kwao mama yako huna jinsi mlaumu mama yako Kisha upambane na hali yako.
Juzi kati nilikuwa na Dada moja kwa lengo la kupanga utaratibu wa marriage and total packages wakati wa mazungumzo akatoa hoja kwamba alisomeshwa na wazazi wake hivyo mapato yake ataelekeza kwao mimi nijiandae kuhudumia familia.
Baada ya kusema hivo nikamuuliza maswali yafuatayo
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.