Kuna dada namfahamu alikuwa ameolewa tulikuwa tunajua ana mashetani kumbe anaigiza😂😂
akiyapandisha anakua ka kichaa halafu anakimbia anapotea ata siku 2
khee kumbe alikua akipotea ivo anaenda kwa baby wake anayempenda baadaye ikaja kujulikana
urefu huu sina hamu nao kabisa nikikumbuka kijana wa kwanza kabisa kumuelewaga alikua ananiambia tatizo me ni mkubwa sana😭, nilitamanigi niwe shortie mbona😂
pia kwenye hewa kuna chembechembe ndogo sana za plastiki zinaitwa microplastic mvua inaponyesha zinachanganyika na maji ya mvua ndo maana hayatakiwa ktumika kunywa, zinasababisha kansa, mvurugiko wa homoni nk.
hapana kuwa na wazazi ambao hawajatengana sio dhamana kuwa na watoto wao watakuwa na successful marriages
Wapo waliotoka kwenye broken homes lkn ndoa zao zimedumu na walio na wazazi ambao hawajatengana lkn ndoa zao zimeshindikana
sababu zipo nyingi
1 kama mume hatimizi majukumu yake
2 kama ana tabia zinazomkera mke wake mf. ulevi,nk.
3 kama ameshawahi cheat hadi mke akajua hupelekea hisia kuisha
4 kama alishawahi kumtreat mke wake vibaya kipindi akiwa na ujauzito kusahau sio rahisi
5 Uchovu pia kama mke ana shughuli nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.